Edc Tz
Member
- Apr 20, 2018
- 60
- 38
Wanajamvi napenda nifahamishwe kitu kimoja. Hua natengenza tutorial za screen capture kwenye laptop yang natumia program ya Webcam Au cyberlink ambayo ina uwezo huo lakin tatizo lipo kwenye sauti kwa sababu laptop haina maiki nzurii ambayo inaweza kuchukua sauti vizurii. Naomba kwa mjuzi ni maiki ipi inafaa na gharama zake zipoje. Na pia kama kuna mtu ana ujuzi na haya mambo anipe maelekezo kuhusu jambo hili