ANTUNTU Officer ndo mambo yote, nenda Play Store download hiyo App then utahitaji PC na working web browser,.. utahitajika kuscan qr code kwenye website yao ya www.y.antuntu.com kwa kutumia simu yako.. Majibu yatakuja kuthibitisha uhalisia wa simu yako....Samahan wadau nitaitambuaje cm original aina ya sony z3?
Mkuu mpe ushauri kama yupo dukani, Yaani code za haraka kutambua simu original.!ANTUNTU Officer ndo mambo yote, nenda Play Store download hiyo App then utahitaji PC na working web browser,.. utahitajika kuscan qr code kwenye website yao ya www.y.antuntu.com kwa kutumia simu yako.. Majibu yatakuja kuthibitisha uhalisia wa simu yako....
Pia kwa haraka haraka unaweza kucheki IMEI yako kwa kupitia www.imei.info..
Mkuu mpe ushauri kama yupo dukani, Yaani code za haraka kutambua simu original.!
Kujua simu original wakati upo dukani au kwa haraka ni shida kidogo.Samahan wadau nitaitambuaje cm original aina ya sony z3?