Namna ya kusurf bure

Namna ya kusurf bure

Mkuu cjakupata vzuri apo kua wanatumia sana kiingereza kivip ani ndo inawapelekea kua ivo wataalam? Na vipi kuhusu lugha yao ambayo ni kihindi kaka?
Mkuu cjakupata vzuri apo kua wanatumia sana kiingereza kivip ani ndo inawapelekea kua ivo wataalam? Na vipi kuhusu lugha yao ambayo ni kihindi kaka?
mfano sisi Tanzania tunatumia kingereza sana internet na hata website zetu ni za kingereza hivyo ni rahisi kukutana na website za wahindi sababu nao wanatumia kingereza. nimemaanisha hivyo.

India ina state nyingi sana wanaoongea kihindi ni watu wa kaskazini tu, ukienda state za tamil unakuta watu wanaongea kitamil hawajui kihindi, kuna kannada telegu etc angalia hii ramani.

320px-Language_region_maps_of_India.svg.png


hivyo ukitumia kingereza india ni rahisi website yako kusomwa na nchi nzima kuliko kutumia kihindi.
 
Jamani wa Tz tunashindwa nini, maana nimepitapita katika blog nying za waind wanaonyesha mins wanavyotumia freebasics.com app kupeluz website mbalimbali kwa kuihack na kuchange proxy and VPN, xaxa kama kunamwenye ujuz huo humu jf aulete maana mm nataka kufungua google freely kwa kutumia fee basics
Anayejua
Help
Pleaz
yah mkuu unachosema ni kweli ilikua inawezekana kitu kama hicho hapa bongo na bado inawezekana but 50mb per day
siku za mwanzo wakati freebasics iko unlimited data per day ulikua unaweza kuongeza port tu na unaweza kupata unlimited internet data full kudownload,usurf ,streaming nk
dah ila kwa sasa mb 50 per day surfing,downloading,streaming
 
mfano sisi Tanzania tunatumia kingereza sana internet na hata website zetu ni za kingereza hivyo ni rahisi kukutana na website za wahindi sababu nao wanatumia kingereza. nimemaanisha hivyo.

India ina state nyingi sana wanaoongea kihindi ni watu wa kaskazini tu, ukienda state za tamil unakuta watu wanaongea kitamil hawajui kihindi, kuna kannada telegu etc angalia hii ramani.

320px-Language_region_maps_of_India.svg.png


hivyo ukitumia kingereza india ni rahisi website yako kusomwa na nchi nzima kuliko kutumia kihindi.
Mkuu hapo nmekuelewa sasa..
Thanks..
 
yah mkuu unachosema ni kweli ilikua inawezekana kitu kama hicho hapa bongo na bado inawezekana but 50mb per day
siku za mwanzo wakati freebasics iko unlimited data per day ulikua unaweza kuongeza port tu na unaweza kupata unlimited internet data full kudownload,usurf ,streaming nk
dah ila kwa sasa mb 50 per day surfing,downloading,streaming
onyesha mautundu hayo
 
Ushauri tu, kaa utafute mwenyewe google hadi ufanikiwe kusema mtu akusaidie tena hapa JF ni ndoto.
Njia nyingi zilipostiwa humu miaka ya nyuma na zote zikafungwa, hamna kushare chochote alafu kesho yake wakafunga tena.
 
Kuna tricks kadhaa nmezitest myself na nikakuta zinapga job but zina slow speed kichizi it's just about browsing on Google but not downloading na kuna moja naisi inahitaji a web working proxy ili iwe vizuri....
 
Mm natumia internet ya VPN jamaa kaniungia kwenye simu na PC sh. Elfu 20 now bi zaid ya miezi miwili nimerumia GB 321 kwenye pc na spid ipo bomba sana. Nakula hadi mb 5 kwa sekunde kwa kupitia line ya voda 4g.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm natumia internet ya VPN jamaa kaniungia kwenye simu na PC sh. Elfu 20 now bi zaid ya miezi miwili nimerumia GB 321 kwenye pc na spid ipo bomba sana. Nakula hadi mb 5 kwa sekunde kwa kupitia line ya voda 4g.

Sent using Jamii Forums mobile app


Kama miezi miwili umetumia gb 321 ina maana kwa siku unatumia gb 5,assume kwa siku unatumia net kwa masaa matano, so ni 1 gb kwa saa au MB 17 KWA DAKIKA, au MB 0.3 kwa sekunde yani kb 300 kwa sekunde
 
Kuna tricks kadhaa nmezitest myself na nikakuta zinapga job but zina slow speed kichizi it's just about browsing on Google but not downloading na kuna moja naisi inahitaji a web working proxy ili iwe vizuri....
unaweza kushare na mimi? naweza kukusaidia kui perfect
 
Back
Top Bottom