Nina sikia watu wanapata mashirika kusaidia kujiendeleza kielimu,mimi naitaji sana lakini naona kama ndoto tu,nisaidieni nipate kusoma zaidi kwani bodi ya mikopo aitoi kwa shahada ya pili(master)
Nina sikia watu wanapata mashirika kusaidia kujiendeleza kielimu,mimi naitaji sana lakini naona kama ndoto tu,nisaidieni nipate kusoma zaidi kwani bodi ya mikopo aitoi kwa shahada ya pili(master)