Mimi nimemaliza mwaka 2005 AVU-Learnig Centre Course ya Comp. Science mpaka sasa cheti changu nazungushwa tu,mara njoo kesho mara leo muhusika hayupo rudi baada ya wiki, mpaka sasa nimechoka. Kwa kuwa niliamua kuanza kozi kama hiyo chuo kingine na sasa nimehitimu na nafanya kazi zangu, nilichoamua nashaurina na mwanasheria wangu kufungua mashtaka dhidi ya wahusika.
Na wahusika wenyewe kama watasoma thread hii wajiandae, ingawa wanajifahamu kwa kifupi cha majina yao tu ni haya: Ng na wenzako M.M, JM.