Enny JF-Expert Member May 26, 2009 962 130 Feb 9, 2011 #1 Naomba kuelimishwa namna ya kumgongea mtu THANKS kwenye thread yake.
N Nonda JF-Expert Member Nov 30, 2010 13,358 4,304 Feb 9, 2011 #2 Enny said: Naomba kuelimishwa namna ya kumgongea mtu THANKS kwenye thread yake. Click to expand... Enny, Utaweza kufanya hivyo pale utakapokuwa umelog on kama member wa JF na sio mtupia jicho tu! Ukiwa ume-sign in basi chini ya thread ya mtoa mada utaiona hiyo thanks, basi inabofya tu hako na unakuwa umemgongea huyo mtoa mada thanks.
Enny said: Naomba kuelimishwa namna ya kumgongea mtu THANKS kwenye thread yake. Click to expand... Enny, Utaweza kufanya hivyo pale utakapokuwa umelog on kama member wa JF na sio mtupia jicho tu! Ukiwa ume-sign in basi chini ya thread ya mtoa mada utaiona hiyo thanks, basi inabofya tu hako na unakuwa umemgongea huyo mtoa mada thanks.