Burton86jm
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 616
- 183
Wadau naomba msaada,baada ya kugeuza dish la Zuku kwenda SES At 4.9 degree,nikaongeza chaneli za FTA(free to air) nikafanikiwa ila sasa chaneli za Zuku zote hazipo zimebaki hizo(fta),pia hata nikizifuta(factory default) hazifutiki.Msaada pliz kwaa mwenye ufahamu.