gerald anthoni
Member
- Jan 27, 2018
- 79
- 60
Habari za mda ndgu wana JF,
Mm ni miongoni mwa watu naopenda sana maswala ya computer networking na nshaanza kujifunza installation and configuration l, lakin kitu kinachoniumiza kichwa ni nataka kujua ni kwa mfano lipo jengo MTU au taasisi wanafungua ofisi hapo hvyo wanaitaj network n vitu gani vinahitajika mpk kunakua na uwezo labda wa Ku access internet?
Yani kwa kifupi nashindwa kuliwekaje hili swali lkn naitaji kufahamu process nzima mpk jengo linakua na network
Naombeni msaada kwa yeyote mwny uelewa na haya maswala ya IT
Mm ni miongoni mwa watu naopenda sana maswala ya computer networking na nshaanza kujifunza installation and configuration l, lakin kitu kinachoniumiza kichwa ni nataka kujua ni kwa mfano lipo jengo MTU au taasisi wanafungua ofisi hapo hvyo wanaitaj network n vitu gani vinahitajika mpk kunakua na uwezo labda wa Ku access internet?
Yani kwa kifupi nashindwa kuliwekaje hili swali lkn naitaji kufahamu process nzima mpk jengo linakua na network
Naombeni msaada kwa yeyote mwny uelewa na haya maswala ya IT