Military Genius
JF-Expert Member
- Mar 3, 2019
- 760
- 1,445
.ulikuja kufanikisha au ulighairSafi...nami badae kdg ntaipikia mchemsho wa ndizi nyama,ngoja hang over ipungiue kdg
π Όπ Έπ »π Έπππ π Άπ ΄π ½π Έππ
.ulikuja kufanikisha au ulighairSafi...nami badae kdg ntaipikia mchemsho wa ndizi nyama,ngoja hang over ipungiue kdg
Nlifanikisha Mkuu...umetoka poa kabisa na nimebakisha kiporo...leo mchana namalizia,asubuhi nilidokoa finyango kadhaa nikashushia na kahawa..hapa niko swafiiii.ulikuja kufanikisha au ulighair
π Όπ Έπ »π Έπππ π Άπ ΄π ½π Έππ
Hiyo kitu ni hatari sana,unainjika maharage yakiiva unaosha sufuria unaweka wali....Hivi hiyo ya kwenye picha ipoje?huwa siielewagi......ni umeme tu?effectiveness yake ikoje katika matumizi?
Livingstone wanauza vyombo vya mtumba?Mkuu kwa maduka ya vyombo nayoyajua labda kama wameeanza kipindi hiki kuleta mipira. Mm tangu nazaliwa namkuta baba na mama wanatumia presha coocker. Baba alikuwa analalamika sana kwenye kununua mpira hasa pale presha coocker linapokuwa limetumika muda mrefu. Na mm nilipoanza kujitegemea nilienda kuishi dar. Nilikuwa nataufuta sana mpira wa presha coocker hapo mitaa ya kariakoo kwenye maduka makubwa ya vyombo kama sijakosea ni mtaa LIVINGSTONE sema nimesahau maana ni muda sana tangu niondoke hilo jiji la lawama.
Kuna kamtaa fulan hapo jiran na soko la kariakoo yaan ni vyombo tuu kuna maduka mengi ya vyombo vya ndani kutoka china na uarabuni. Nimekasau jina.Livingstone wanauza vyombo vya mtumba?
Vya mtumba?Kuna kamtaa fulan hapo jiran na soko la kariakoo yaan ni vyombo tuu kuna maduka mengi ya vyombo vya ndani kutoka china na uarabuni. Nimekasau jina.
Vipyaaa. Og sema chinese standard.Vya mtumba?
Vipyaaa. Og sema chinese standard.
Ndo vingi.
Vya mtumba bei yake huwa mkasi sana maana vinatoka sana bara ulaya
[/QUOTE
siulizii vyombo vipya naulizia Mtumba.
Me napikia wali, ndizi, nachemshia nyama, nachemshia chai/maziwaUnaweza kupika/kuchemshia chakula kingine kipi pasipo kuifanyia uharibifu?
aloooo...Me napikia wali, ndizi, nachemshia nyama, nachemshia chai/maziwa
Nimepikia sana rice cooker hostel, Pika sana makande Tena nilikua napika maximum Mara mbili kwa wiki, wali, maharage, maandazi, chips, ugali, vegetables zote, nyama, pilau, uji na mazagazaga mengine.Unaweza kupika/kuchemshia chakula kingine kipi pasipo kuifanyia uharibifu?
Nimepikia sana rice cooker hostel, Pika sana makande Tena nilikua napika maximum Mara mbili kwa wiki, wali, maharage, maandazi, chips, ugali, vegetables zote, nyama, pilau, uji na mazagazaga mengine. Ili uweze kupika maandazi au ugali unaweka kikaratasi chembamba unachomeka chini ya kile kiswitch Cha cook ili rice cooker isijifyatue kutoka cook kwenda warm, so ukiweka kikaratasi utapika kitu chochote na hakitajifyatua. Tumepika Kila kitu kwa rice cooker
eeeeehh..asanteeeeNimepikia sana rice cooker hostel, Pika sana makande Tena nilikua napika maximum Mara mbili kwa wiki, wali, maharage, maandazi, chips, ugali, vegetables zote, nyama, pilau, uji na mazagazaga mengine. Ili uweze kupika maandazi au ugali unaweka kikaratasi chembamba unachomeka chini ya kile kiswitch Cha cook ili rice cooker isijifyatue kutoka cook kwenda warm, so ukiweka kikaratasi utapika kitu chochote na hakitajifyatua. Tumepika Kila kitu kwa rice cooker
Mimi nilikua napika mabibo hostel block F hapajizimi umeme, block za undergraduate ukiwasha tuu rice cooker main switch inajizima au baadhi ya vyumba umeme unakata but block F kwa postgraduate hata Kila mtu akiwasha jiko la umeme au rice cooker umeme hausumbui
We umenikumbusha mbali kuna wajamaa wa kigoma walikuwa wanakaa hosteli sasa kila wakianza kupka lazima umeme ujizime yani.
Yani walikuwa wanaingua balaaaa na rice cooker yao.
Hawakuwa na haya maarifa
Yani umesema sawwa ilikuwa block DMimi nilikua napika mabibo hostel block F hapajizimi umeme, block za undergraduate ukiwasha tuu rice cooker main switch inajizima au baadhi ya vyumba umeme unakata but block F kwa postgraduate hata Kila mtu akiwasha jiko la umeme au rice cooker umeme hausumbui
Yes, kule mkipika lazima mjulikaneYani umesema sawwa ilikuwa block D
Mie niliwahi nunua nikaveshwa tu na kutumia kama sufuria tuHii hapa. Mm natumia pressure coocker kupikia vyakula vigumu. Nyama, maharage, wali, makande, samaki na vingine vingi kwa haraka kabisa. Nikihamishwa kazi kitu cha kwanza kuweka huwa ni presha coocker nguo ndo zinafata.View attachment 1460566