fabinyo
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 2,991
- 2,108
Nishanunua tayari... ndio maana nikataka kujua matumizi zaidi...i gues hiyo ingine inafaa zaidi..tekinolojia zinaenda kasi sana,wakati unatafuta taarifa za moja,hujazipata vizuri watu washafika kumi...shukraniMimi nimeona watu wakitumia.
Ila mimi sina.
Kama hujanunua rice cooker nakushauri tafuta tu hiyo multi cooker umalize mchezo zipo zingine zinafanya kila kitu mpaka deep fry. Achana kununua rice cooker.