Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,895
- 1,608
Huku poli tunaugua tunaambukizana na tunapona wote bila hata kujua. Kwakifupi tunauchukulia kama haupo na kweli umetoroka. Misiba inahudhuriwa na watu 1000 na mnalala pamoja kwenye maturubali. Kwa kifupi corona tumemwonyesha ujasiri mpaka ye ndo akaamza kutukimbia. Zimeni tv na smartphone corona anatembea na mawimbi ya media!!!
Hiyo siyo corona babaa.. unazani marelia au pindupindu iyo eee!! Kwa sasa tuna Delta, omba isikupate mzee.