Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,124
- 4,162
Unyanyapaa ni kitu kibaya sana. Hivyo lazima kuepukwa.
Lakini vipi unapokuwa na mate wako ambae aliugua dalili zote za Uviko na bado anakohoa na kupiga chafya.
Akija kazini mnatakiwa kuishi nae vipi? Maana kilia mtu anaogopa huu ugonjwa.
Kumtenga? Ukimtenga atasema mnafanya unyanyapaa.
Lakini vipi unapokuwa na mate wako ambae aliugua dalili zote za Uviko na bado anakohoa na kupiga chafya.
Akija kazini mnatakiwa kuishi nae vipi? Maana kilia mtu anaogopa huu ugonjwa.
Kumtenga? Ukimtenga atasema mnafanya unyanyapaa.