Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Namna bora ya kusafisha image ya gvt kimataifa ni kutengeneza wakosoaji feki watakaoisema sana serikali lakini wasiguswe waachwe waseemeee weeeee na wala serikali wasijibizane nao hii itafanya iaminike kwamba Kuna freedom of speech
Lakini pia wakosoaji wa kweli kama kina lema mbowe lisu zito nk hawa wapewe pia space ya kuikosoa serikali bila kupata matatizo !!!
Lakini pia wakosoaji wa kweli kama kina lema mbowe lisu zito nk hawa wapewe pia space ya kuikosoa serikali bila kupata matatizo !!!