loose Nut
JF-Expert Member
- Dec 6, 2025
- 773
- 1,748
Kifo cha bilionea Banjoo kimeniacha na Simanzi sana. Pengo lake kamwe alitazibwa na yoyote na chochote.
Alikuwa mcha Mungu swala tano ana sijdah kwanini wamemdhulumu uhai?
Pia soma > Arusha: Je, kifo cha Banjoo (Abdilah Musa) ni ''auaye kwa upanga hufa kwa upanga''?
Kajenga misikiti, kasaidia mayatima na wajane alikuwa mstari wa mbele katika swala zima la kusaidia wahitaji na ubinadamu.
Allah amfanyie wepes na amsamehe dhambi zake huko Firdaus jannah.
adriz de mbusii
Alikuwa mcha Mungu swala tano ana sijdah kwanini wamemdhulumu uhai?
Pia soma > Arusha: Je, kifo cha Banjoo (Abdilah Musa) ni ''auaye kwa upanga hufa kwa upanga''?
Kajenga misikiti, kasaidia mayatima na wajane alikuwa mstari wa mbele katika swala zima la kusaidia wahitaji na ubinadamu.
Allah amfanyie wepes na amsamehe dhambi zake huko Firdaus jannah.
adriz de mbusii