Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 36,271
- 60,590
Mabikra 72 na Dawaza za PombeKwa wema huo saa hizi huko firdausi atakuwa anakinukisha vibaya haijawahi kutokea!!!
Mabikra 72 na Dawaza za PombeKwa wema huo saa hizi huko firdausi atakuwa anakinukisha vibaya haijawahi kutokea!!!
Hahaha humu ana faili lake tangu 2013 huko ukija mpaka 2024 kwenda 2025 yeye tu anazungumziwa , ngoja nipite hiviKuna watu walitaka kupita na upepo wa utekaji ila baada ya kumjua vizuri mtu mwenyewe aliyefanyiwa tukio wakarudi kwenye default mode chap 😅😅
SIO SECURITY TU HAPO HATA WAPITA NJIA NI SHAZI MATOUR GUIDE KUVIZIA WATALII, WALINZI WA MAKAMPUNI BINAFSI YANI HAPO NDO SERIKALI YA ARUSHA ILIPO TUSEME IKULU YA ARUSHA IPO HAPOHuu mkanda unaonekana upo wazi maana hapo km kuna security ya kutosha lazima watakua wameacha fingerprints zao za kutosha yaan wameonwa na waliowaona ndio wanajua full story, sasa tusubirie nini kitafuata dunia haina siri