Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Nilikuwa na boyfriend wangu, tulipendana sana lakini ikatokea mimi nikahama mkoa ule ambao yeye alikuwa anafanyia kazi. Kwa ahadi ya kukutana kwani muda si mrefu yeye anaanza likizo.
Basi nami pamoja na familia yangu tukahamia Dar ambako hata masomo yangu ya elimu ya juu ninasomea hapa Dar umbali ukawa tatizo, tukawa tunawasliana kama kawaida lakini mwenzangu akaanza tabia ya wivu wa ajabu kiasi kwamba hata kama nipo darasani sijapokea simu yake au kumjbu sms zake ni lazima tugombane.
Nikamvumlia,like no one is perfect may this it is his weakness,or its what it called love. lakini kubwa ya yote ikawa siku moja nipo na wenzangu tunaenda kununua chips kama chakula cha jioni, hiyo sehemu ilkuwa na mziki hivi,mpenzi wangu yule akanipgia nami nikapokea nokamsalimu vizuri lakini nikamtaka radhi,nikamwambia nipo nanunua chakula cha jioni na hapo nilipo pana kelele hivi kiasi kwamba simsikii vizuri.
So, anipe dak. 5 nitampogia, lahaula! ikawa kosa, bwana yule akawa mbogo, akaanza kunitukana na kunisema nipo na ma bwana zangu nikajaribu sana kumuelewesha lakini nilitwanga maji kwenye kinu, alifufua Hadi waliokufa akawapa matusi yao akawarudisha makaburini akawazika upya.
Akaniambia kuanzia hapo nisimpigie simu, klia mtu aendelee na hamsini zake loh! Niliumia mtoto wa kike, chips zikanitumbukia nyongo nikajiliza paleeee mpaka kulipokucha.
Nikapiga simu na kutuma sms siku nzma but it didn't work out, hakupokea simu wala hakujibu Sms zangu ikawa bila bila nikagive up nikaringanisha na tabia zake za wivu na unywaji pombe kupitoliza,nikaona bora yeshee, nikampotezea.
Hapo sasa yeye akaanza kurudi kwangu lakini mimi sikuwa tayari. Sasa basi, nimeanza tabia ya kumkumbuka tho simuhitaji wala kumtamani.
Namkumbuka vituko vyake, kisses zake, romantic conditions zoote zake lakin simhitaji tena Hata kwa kumaikia,Yaani Naona hanogi si kwa chumvi umtie ndimu na pili pili,Wala hanogi kwa sukari.
Just memories, nothing more.
Basi nami pamoja na familia yangu tukahamia Dar ambako hata masomo yangu ya elimu ya juu ninasomea hapa Dar umbali ukawa tatizo, tukawa tunawasliana kama kawaida lakini mwenzangu akaanza tabia ya wivu wa ajabu kiasi kwamba hata kama nipo darasani sijapokea simu yake au kumjbu sms zake ni lazima tugombane.
Nikamvumlia,like no one is perfect may this it is his weakness,or its what it called love. lakini kubwa ya yote ikawa siku moja nipo na wenzangu tunaenda kununua chips kama chakula cha jioni, hiyo sehemu ilkuwa na mziki hivi,mpenzi wangu yule akanipgia nami nikapokea nokamsalimu vizuri lakini nikamtaka radhi,nikamwambia nipo nanunua chakula cha jioni na hapo nilipo pana kelele hivi kiasi kwamba simsikii vizuri.
So, anipe dak. 5 nitampogia, lahaula! ikawa kosa, bwana yule akawa mbogo, akaanza kunitukana na kunisema nipo na ma bwana zangu nikajaribu sana kumuelewesha lakini nilitwanga maji kwenye kinu, alifufua Hadi waliokufa akawapa matusi yao akawarudisha makaburini akawazika upya.
Akaniambia kuanzia hapo nisimpigie simu, klia mtu aendelee na hamsini zake loh! Niliumia mtoto wa kike, chips zikanitumbukia nyongo nikajiliza paleeee mpaka kulipokucha.
Nikapiga simu na kutuma sms siku nzma but it didn't work out, hakupokea simu wala hakujibu Sms zangu ikawa bila bila nikagive up nikaringanisha na tabia zake za wivu na unywaji pombe kupitoliza,nikaona bora yeshee, nikampotezea.
Hapo sasa yeye akaanza kurudi kwangu lakini mimi sikuwa tayari. Sasa basi, nimeanza tabia ya kumkumbuka tho simuhitaji wala kumtamani.
Namkumbuka vituko vyake, kisses zake, romantic conditions zoote zake lakin simhitaji tena Hata kwa kumaikia,Yaani Naona hanogi si kwa chumvi umtie ndimu na pili pili,Wala hanogi kwa sukari.
Just memories, nothing more.