terabojo JF-Expert Member Aug 3, 2010 215 45 Aug 4, 2010 #1 Wanajamii Mpo? Mpo ndio. Nami nimechoka kuambulia kiduchu katika anga za jamii forum na nimeonelea bora nijiunge kikamilifu na leo najitambulisha.
Wanajamii Mpo? Mpo ndio. Nami nimechoka kuambulia kiduchu katika anga za jamii forum na nimeonelea bora nijiunge kikamilifu na leo najitambulisha.
Kachanchabuseta JF-Expert Member Mar 8, 2010 7,269 675 Aug 4, 2010 #2 karibu tera(piga)bojo(mvulana) kwa hisani ya wahaya:bowl::bowl::bowl: