Varbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,124
- 895
Naona unataka kubadilisha Usichokiweza, Hakuna kitu kinachoweza kukuharibikia bila kutoa dalili za awali!! Kama utaendelea kupuuza na kusimamia msimamo wako kua utaacha wangapi basi mie nakupa akiba ya maneno!! "Endelea kumwagilia mti utakao kuja kutundika kamba ya kujinyongea