Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,727
Wadau wa MMU,
naombeni tu nije hapa nitoe ya moyoni kidogo na pia kusikia maoni yenu. Kwa kilichonitokea siwezi ongea na ndugu wala rafiki sababu hawataamini na itakua aibu kwangu kiasi flani.
Sikuwahi kuwaza kuwa anaweza kunicheat ila nimemfumania live akiwa na mtu mwingine.
Baada ya kukaa na kuongea na huyo jamaa kwa mda wa zaidi ya lisaa tukagundua kuwa tuko wengi.
I swear nilifikiri naota, jamaa mwingine nae hadi machozi yakamtoka. Na huyu mme mwenza ni jirani yangu.
Huyu binti ni the most decent girl i have ever come across na kiiiila mtu naemwonyesha ananimabia huyu ndio mke!
Dah kumbe the girl is moving with other people!
Wadau acheni tu, words cannot express. Sasa katika kuongea nae ikabidi nimuulize ni kwanini anafanya hivyo? Maana tamaa ya hela hana hata kidogo na hata sex sio kwamba anaipa kipaumbele chochote.
Binti akaniambia haelewi ila tatizo lake kubwa ni hawezi kupenda na hajawahi kupenda. Mimi hili nililiona lakini nikafikiri with time atabadilika.
She is 23 and i am much older then her. Katika pita pita zangu humu MMU kuna sifa 2 za ambazo anazo watu huongelea sana kuwa ni za mwanamke asiyefaa lakini mimi nilikua napuuza nakuona hakuna ukweli ila sasa naamini asilimia 100.
1. binti ni kabila la hapo singida
2. binti hana baba anaishi na mama yake tu.
Sasa wazoefu naomba mniambie je naweza mfundisha huyu binti kupenda na namfundishaje? Maana ukweli nimechoka sasa na wanawake na inabidi nitafute wakuoa wazazi wangu waishi kwa utulivu miaka ya hii ya mwishoni.
Hata kama ndoa itanikondesha poa tu as long as mama yangu atapata faraja.
naombeni tu nije hapa nitoe ya moyoni kidogo na pia kusikia maoni yenu. Kwa kilichonitokea siwezi ongea na ndugu wala rafiki sababu hawataamini na itakua aibu kwangu kiasi flani.
Sikuwahi kuwaza kuwa anaweza kunicheat ila nimemfumania live akiwa na mtu mwingine.
Baada ya kukaa na kuongea na huyo jamaa kwa mda wa zaidi ya lisaa tukagundua kuwa tuko wengi.
I swear nilifikiri naota, jamaa mwingine nae hadi machozi yakamtoka. Na huyu mme mwenza ni jirani yangu.
Huyu binti ni the most decent girl i have ever come across na kiiiila mtu naemwonyesha ananimabia huyu ndio mke!
Dah kumbe the girl is moving with other people!
Wadau acheni tu, words cannot express. Sasa katika kuongea nae ikabidi nimuulize ni kwanini anafanya hivyo? Maana tamaa ya hela hana hata kidogo na hata sex sio kwamba anaipa kipaumbele chochote.
Binti akaniambia haelewi ila tatizo lake kubwa ni hawezi kupenda na hajawahi kupenda. Mimi hili nililiona lakini nikafikiri with time atabadilika.
She is 23 and i am much older then her. Katika pita pita zangu humu MMU kuna sifa 2 za ambazo anazo watu huongelea sana kuwa ni za mwanamke asiyefaa lakini mimi nilikua napuuza nakuona hakuna ukweli ila sasa naamini asilimia 100.
1. binti ni kabila la hapo singida
2. binti hana baba anaishi na mama yake tu.
Sasa wazoefu naomba mniambie je naweza mfundisha huyu binti kupenda na namfundishaje? Maana ukweli nimechoka sasa na wanawake na inabidi nitafute wakuoa wazazi wangu waishi kwa utulivu miaka ya hii ya mwishoni.
Hata kama ndoa itanikondesha poa tu as long as mama yangu atapata faraja.