Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,694
- 11,287
Magriti Sinkaz,
hii mada tangu iletwe humu jamvini mwaka juzi leo ndiyo mmepata cha kumshauri huyu mdau?
Magriti Sinkaz,
hii mada tangu iletwe humu jamvini mwaka juzi leo ndiyo mmepata cha kumshauri huyu mdau?
Kuna dada nilimkopesha elfu 30,alisema atanilipa,lakini kwa kadiri nilivyozidi kumdai akasingizia namtongoza na nikome kumpigia simu,Je how can I get my money,sikuwa na sina mpango wa kumtongoza.
30,000 tu ndo hadi umekuja kuileta JF?????? kweli sisi ni watanzania. Tena wewe kama si mpare utakuwa mchaga.
taratibu na maneno yako Mpwa