Kuna dada nilimkopesha elfu 30,alisema atanilipa,lakini kwa kadiri nilivyozidi kumdai akasingizia namtongoza na nikome kumpigia simu,Je how can I get my money,sikuwa na sina mpango wa kumtongoza.
nitumie namba zenu wewe na uyo dada niwatwange dolla 300 kila mmoja. harafu muombane msamaha uyo msichana si makosa yake bali poverty.umaskin unafanya mtu akuchenjie sasa hivi.
Ndugu yangu angalia tsh 30, 000/= zilikuondolee thaman ya utu wako, kama huyo ameamua kukudhulumu.....
We cha msingi achana nae hesabu kama hiyo fedha umedondosha, anza upya
Kuna dada nilimkopesha elfu 30,alisema atanilipa,lakini kwa kadiri nilivyozidi kumdai akasingizia namtongoza na nikome kumpigia simu,Je how can I get my money,sikuwa na sina mpango wa kumtongoza.