Namchukulia kama chombo cha starehe tu

hongera kwa kumgeuza binadamu mwenzio kuwa chombo cha starehe
 
Hamna ktu naheshmu kama mapenz , nilishamfanyia mtu ujinga sababu nilijua ananipenda, alilia binti wa watu siku nne kula hali mpaka wenzake wamuombe, mara ya mwisho kukutana nae aliniulza maswal paul umeshawah kupenda nikamwambia ndio akakataa akasema ungekuwa umeshawah penda usingenifanyia hv ungejua wat i feel! nkampuuzia sema aliniachia ka laana hv akaniambia utakuja kpata nilichopata, tukaachana , sa hv naugua hapa na mm nimeachwa! daa haya mapnz bac
 
Hii yote inatokana na ye kuwa king'ang'aniz kwangu,nimemuumiza vya kutosha ila ye hatak kunielewa,mwishowe nimeamua kumchukulia kama chombo cha starehe 2.cjui ka nakosea wakuu?
Halafu huyo bwege utakuta anapendwa kiukweli na jamaa lakini Ana watolea nje..
Nitumie namba yake tufaye kolabo
 
Uking'ang'anizi wake bado sio sababu ya wewe kumgeuza chombo cha starehe, kuendelea kwako kumtumia unazidi kumpa nafasi ya yeye kuendelea kung'ang'ana.
 
Mkuu naomba usimfanyie ukatili wa mapenz huyu binti. Najua huwez kunielewa ila ipo siku utanielewa tu. Unapomuacha mtu anayekupenda kwa dhati huwa kuna laana ambayo unaipata sawa sawa na mtu akipata pesa anaanza kufanyia starehe mwisho wa siku atakuwa choka mbaya tu. Kuna watu sasa hiv wanalia na kujuta kwa kuwaacha watu waliojitolea kuwapenda. Upendo wa dhat hanunuliw dukan ni gift. Kila mtu kaumbiwa m'penz wake wa maisha wakati mwingine huwa tunawakataa wapenz wetu tulioumbiwa kwa kujua au kutokujua kwahiyo utakaye kutana naye ha'po hautataman tena mapenz. Ila mkuu kumbuka malipo ni hapa hapa dunian. Hebu fikiria km ww ndio unafanyiwa hiv utajisikiaje? Aise kuna watu wanachezea bahat
 
Mkuu naomba usimfanyie ukatili wa mapenz huyu binti. Najua huwez kunielewa ila ipo siku utanielewa tu. Unapomuacha mtu anayekupenda kwa dhati huwa kuna laana ambayo unaipata sawa sawa na mtu akipata pesa anaanza kufanyia starehe mwisho wa siku atakuwa choka mbaya tu. Kuna watu sasa hiv wanalia na kujuta kwa kuwaacha watu waliojitolea kuwapenda. Upendo wa dhat hanunuliw dukan ni gift. Kila mtu kaumbiwa m'penz wake wa maisha wakati mwingine huwa tunawakataa wapenz wetu tulioumbiwa kwa kujua au kutokujua kwahiyo utakaye kutana naye ha'po hautataman tena mapenz. Ila mkuu kumbuka malipo ni hapa hapa dunian. Hebu fikiria km ww ndio unafanyiwa hiv utajisikiaje? Aise kuna watu wanachezea bahat
Plz, sio kuchezea bahati. Huyo kaka ubaya wake ni kuendelea kuzini na mtu asiyempenda na asiye mke wake. Kitendo hcho ni cha kikatili kabisa. Hastahili kuwa binadamu.

Lakini hoja yangu ni hii tena kwa mifano;
Kuna wanaume wawili walijitokeza kwangu, tena wote wakiwa na lengo la kuoa. Bt kwa wakati tofautitofauti,, lakini hakuna hata mmoja niliyempenda, naposema walinipenda kwa dhati namaanisha. Walijitahidi kunifanya nifurahi muda wote lakini hakuna hata cku niliyompenda mmoja wakati wapo.
Cjui kwann lakini moyo wangu ulikua mbali sana na Hawa watu.

Sasa, ukisema hupaswi kumwacha mtu aliyekupenda kwa dhati, mie ningemchagua nani jamani? Nawezaje kujilazimisha niolewe na nisiyempenda eti kwa sababu yy ana upendo Wa dhati kwangu????
 
Hamna ktu naheshmu kama mapenz , nilishamfanyia mtu ujinga sababu nilijua ananipenda, alilia binti wa watu siku nne kula hali mpaka wenzake wamuombe, mara ya mwisho kukutana nae aliniulza maswal paul umeshawah kupenda nikamwambia ndio akakataa akasema ungekuwa umeshawah penda usingenifanyia hv ungejua wat i feel! nkampuuzia sema aliniachia ka laana hv akaniambia utakuja kpata nilichopata, tukaachana , sa hv naugua hapa na mm nimeachwa! daa haya mapnz bac
Hii ndio naisubiri kwa Yule , yuleeee inakuja tuu
 
Mkuu naomba usimfanyie ukatili wa mapenz huyu binti. Najua huwez kunielewa ila ipo siku utanielewa tu. Unapomuacha mtu anayekupenda kwa dhati huwa kuna laana ambayo unaipata sawa sawa na mtu akipata pesa anaanza kufanyia starehe mwisho wa siku atakuwa choka mbaya tu. Kuna watu sasa hiv wanalia na kujuta kwa kuwaacha watu waliojitolea kuwapenda. Upendo wa dhat hanunuliw dukan ni gift. Kila mtu kaumbiwa m'penz wake wa maisha wakati mwingine huwa tunawakataa wapenz wetu tulioumbiwa kwa kujua au kutokujua kwahiyo utakaye kutana naye ha'po hautataman tena mapenz. Ila mkuu kumbuka malipo ni hapa hapa dunian. Hebu fikiria km ww ndio unafanyiwa hiv utajisikiaje? Aise kuna watu wanachezea bahat
Mwambie Huyo
 
Je mimi niliemuacha malaya na mpenda pesa yatanitokea mabaya yapi?
 
Back
Top Bottom