Namchukia Dr. Shukuru Kawambwa

jajithebest

Member
Jun 12, 2015
45
8
Salaam Wanajamvi
Mimi ni mwanafunzi wa Thaqaafa Mwanza, kiukweli waziri wa elimu namchukia Sana pamoja na baraza la elimu hiii. Ni kwa sababu ya kuharibu mfumo mzima wa elimu na kutuletea BRN Viongozi wengi unakuta wakijinadi katika majukwaa Kwamba Serikali imejenga shule maabara za kutosha hawafikirii swala la mfumo wa elimu uliowekwa ambao unapelekea kuongeza competition vyuo vikuu Kwa upande Wangu nasema. WAZIRI WA ELIMU AJIUZURU na raisi ajaye achague mawaziri wake, huyo Kawambwa awe hata waziri wa mifugo na apeleke BRN Kwenye mifugo.
 
yani kiukweli hata mie nakuunga mkono mkuu huyu mzeee hatumii akili na sidhani kama elimu yake anaitumia katika utendaji wa kazi alishawahi kusimamia ujenzi wa barabara dsm mbagala ukawa ovyo barabara ndani ya wiki mbili baada ya ujenzi ikawa na mabonde mabonde mh john magufuli ndio akatoa amri ibomelewe na kutengenezwa upya nae kawambwa akaamishiwa wizara ya elimu huko ndio tunaona utekelezaji wake pia ni mbovu wakutuletea mfumo huu wa Brn na kushusha hadhi ya elimu yetu tanzania pia na mbinu zake za kutaka wanafunzi wapewe kompyuta mpakato mashuleni watumie na wakati umeme wenyewe hamna na wanafunzi wanakaa chini hata madawati yenyewe ni shida kiukweli huyu hafai kuwa ata afisa mtendaji labda awe mwandishi wa habari wa chama, watu kama hawa serikali inawafumbia macho sielewi nchi yetu inaelekea wapi
 
Tatizo kubwa ni kuondoka kwa mama Ngalichako pale baraza, ila ukwel ni kwamba jamaa anatekeleza ilan ya chama ya kuwa na wasomi wengi wasio na maarifa, kama yeye mwenyewe alivyo kilaza, hafai sehemu yoyote ile hata kuwa mkulima.
 
hahahahahahaha MKUU hao mangedele wakikusikia huioni tena jiji,ila co mbaya mkuu habari imeshafika iyoo ,huyu mzee naomba achunguzwe vizr akili yake IMEKAA IRREGULAR SHAPE
 
Akili ndogo
Umeambiwa BRN ni 'product' ya Shukuru Kawambwa binafsi?
una uhakika akiondolewa na BRN inaondolewa?
 
Larkin wazir huyu. hana akili
Tunataka mfumo wa ZAMANI wa elimu
mwaka huuu tutagoma na kuandamana
 
Chuki binafsi. Mnyongeni mnyongezi lakini haki yake mpeni. Hujatoa hoja na kuithibitisha kwa takwimu, ndo maana inakuwa Kama chuki binafsi.
 
Back
Top Bottom