Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
Atleast Facebook maybe watafungia email na utafungua Mpya..Kwa kweli ni kuwa makini sana. Hata kwenye facebook usipokuwa makin nao wanakufungia vilevile.
Atleast Facebook maybe watafungia email na utafungua Mpya..Kwa kweli ni kuwa makini sana. Hata kwenye facebook usipokuwa makin nao wanakufungia vilevile.
Mkuu kama namba yako iko official hivyo kwanini uhangaike na whatsapp fake!? Cheki zinavyokugharimu.Ni meuninstall na kudownload upya kwa namba ingine shida ni kwamba namba ya mwanzo inajulikana na watu wengi mpaka Corporate companies.
Hii mpya mpaka ije ijulikane ni shida sana.
Mimi nilijitoa tu, niliona kutumia vitu ambavyo sio official ni hatari kwa usalama wa mawasiliano yanguUliamua kuitoa tu au ulipata ban??
Demu wa chaliifranciscoWala hata sijaziona, ndio nani huyu Amber Rutty??
Demu wa chaliifranciscoWala hata sijaziona, ndio nani huyu Amber Rutty??
Tatizo ni hizo Whatsapp za ajabuajabu mnazodownloadMi sio msumbufu kabisa kaka, nahisi itakuwa ni GBWhatsapp niliyokuwa nayo, kama kuna mtu anahizo whatsapp 2 basi aondoe moja wapo la sihyo tegemea ban muda si mrefu.
Kiukweli sikumbuki chochote, nnachokihisi ni hiyo app ya GBwhatsapp basi.Kuwa mkweli tu, kuna kitu unakifahamu ulikifanya, hawakuonei, kwanza kuna mijitu huingiza namba yangu kwenye magoup yao bila idhini yangu, hawa wapigwe ban kama hizi.
Shida ni kwamba hyo app ilikuwepo tu na nilikuwa siitimii kwa chochote kile. Ningejua mapema ningeiondoa tu. Manake ilikua haina kazi yeyote.Mkuu kama namba yako iko official hivyo kwanini uhangaike na whatsapp fake!? Cheki zinavyokugharimu.
Ha ha ha ha haaDemu wa chaliifrancisco
Yaaan ww utapigwa Life ban naona ....Duu sasa mimi kwenye simu yangu nime install whatsapp inaitwa fouad Mods..hii si ni hatari?
Okay yaan nimeelewa na nimepata shule, sirudii tena.Tatizo ni hizo Whatsapp za ajabuajabu mnazodownload
Nimeoa bhanaaa misambwanda ya nini tenaa??Unatongoza sana wasap huko sas wamekureport
Hiyo number haiwezi kukubali kutumia tena app yoyote ya WhatsApp..wewe sajili tu number nyingine na utumie hiyo WhatsApp official. Hilo ni kosa kubwa sana kwao WhatsApp kutumia app nyingine..ndo maana hizo app za WhatsApp ziliondolewa Google play store. Ukitaka kutumia hizo app tumia namba mpya ambayo hujawahi kuitumia WhatsApp hii official...Pole sana!Nimeoa bhanaaa misambwanda ya nini tenaa??
Mi sio msumbufu kabisa kaka, nahisi itakuwa ni GBWhatsapp niliyokuwa nayo, kama kuna mtu anahizo whatsapp 2 basi aondoe moja wapo la sihyo tegemea ban muda si mrefu.
jiwekee taabia ya kusoma Terms Of Service (ToS) za mtandao wowote ule kabla hujazikubali(agree) na kujiunga
hapo umevunja sheria na hiyo no. kujiunga na whatsapp haitokubali kamwe