mwaki pesile
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 340
- 487
fm whatsapp apk
yo whatsapp apk
yo whatsapp apk
Hata hii nayo majangaTumia YO WHATSAPP iko poa sana.haileti update za mara kwa mara
This sounds childish.Imagine vitu kama hizi, theme za kibabe, halafu mjinga mark anataka aturudishe koromije. View attachment 1121407
Mimi najiulizaMbona mnateseka sana? Kuna kitu gani special mnapata kupitia hizo WhatsApp fake?
Mi ntaenda aisee
Pakua whatspp plus Anti ban brother imeshatoka rejea post za nyuma.Nimekula Ban ya dakika 20 imebidi niitoe FM whatsapp ... any sollution nirud kundin maana hii OG whatsapp haina MADOIDO
Mimi najiuliza
Huenda labdaYaani Mkuu kila wakati naona thread za malalamiko. Hadi nikahisi kuna watu wanapata malipo huko kwenye WhatsApp fake.
Kabisa wala hujakosea.This sounds childish.
Kuchat na mirangirangi hivi inasaidia nini?
Haaa mkuuu haiwezi kuwa kweli khaaaaKuna jamaa nimeona mahala kapigwa Ban la miaka 60 asee
Nkajua ni peke angu aysee😂😂wametuweza
Wadau Kuna ukweli hapa , founder wa WhatsApp Ana block modified zote za WhatsApp?
Subiri nikutafie mkuu hiyo kituHaaa mkuuu haiwezi kuwa kweli khaaaa
Haaaaaa jamaa aliwatukana nini duuuu.....balaaaa hilo