JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,510
- 7,534
naomba kuuliza hivi namba za simu kwanini hazitengenezwi kwa mtindo wa mtiririko(series) kama wa mfano namba za magari.maana sidhani kuwa Tanzania kuna wateja wengi wa simu kiasi cha kila mara mitandao kuanzisha code mpya mfano 075XXXXXXX na 076XXXXXXX kwa vodacom.kwa mtiririko XXXXXXXX inaweza kuwa na mpaka tarakimu 9999999 na hao ni wateja wengi ambao sidhani kama kuna mtandao wenye wateja wengi kiasi hicho.