Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,891
- 6,902
Kuweka namba ya Zitto ni sawa tu na kusema afande mshuti unapofanya ugaidi ili kujenga hisia kuwa aliyetenda hilo tendo ni fulani.
Chadema hawana protocol,Hii thread sasa imekuwa vurugu tupu.
Watu badala ya kujadili sababu za namba ya Zitto kuwekwa kwenye kesi ya ugaidi wanajadili historia za kutungwa.
Badala ya kujadili kwanini tamko la chadema litolewe bila kumhusisha kiongozi wa juu mnajadili chuki binafsi.
Tumanini Makene ndiye anyetakiwa kutoa majibu kwa niaba ya chadema...
Hii thread sasa imekuwa vurugu tupu.
Watu badala ya kujadili sababu za namba ya Zitto kuwekwa kwenye kesi ya ugaidi wanajadili historia za kutungwa.
Badala ya kujadili kwanini tamko la chadema litolewe bila kumhusisha kiongozi wa juu mnajadili chuki binafsi.
Tumanini Makene ndiye anyetakiwa kutoa majibu kwa niaba ya chadema...
Tumevua gwanda tukavaa gamba baada ya ubabaishaji ndanimwe.
Ila still tumekunywa supu ya maagano na zito hakuna wa kumtoa moyoni mwetu haka akifa/kuuliwa kesho simply for what he did for Tanzanian's.
Yeah,
Kwa hiyo mnatetea zitto kwa sababu ni mwislam?.
Chadema hawana protocol,
Kila mtu ni msemaji mkuu wa chama, bora tu awe mchaga au ana cheo fulani ndani ya chama. Hata yule kijana anayetembeaga na sumu mfukoni ni msemaji pia
Kuna mtu kasema amepiga M Pesa na kuthibitisha kuwa namba hiyo bado iko chini ya jina la Zitto. June 2012 mpaka sasa ni zaidi ya miezi 10. Hivi mtu unapoacha kutumia simu inachukua muda gani kwa kampuni ya simu kubadilisha jina la umiliki?
Ila nadhani ametoa uhuru kwa Voda kurelease activities za number hiyo kwa takriban mwaka. Kwa hiyo hapo ndiyo labda tungejua nini kilifanyika.Kwenye hili suala Zitto kajichanganya, ametumia akili nyingi zaid ya ilivyotakiwa. Hapa ameabuse brain yake. Alitakiwa either aassume kuwa ni error, awasiliane na marando ili amueleze amearrive vipi hadi kuiweka ile namba pale kwenye tamko. Usikute ni information from vodacom na back up ipo, sasa hapo hata ukibisha had asbuh itakusaidia nn wakat info imetoka kwenye horsemouth???
Yeye Zitto ana kifaa gani kinachomfanya adetect kama hiyo namba inakuwaga hewani au lah???Kwani namba ikiwa inatumika ni lazma iwe on muda wote???? Inashindikana nn mtu kuiweka kwenye simu pale anapoitumia tu na akimaliza anaitoa????Hili unawezaje kubisha???Kwan ukiacha kuitumia namba yako unawakataza voda wasimpe mtu mwingine hadi uweke maapizo kuwa haitumiki tena au haijawah kutumika toka uiache???
unaandika kama huna akili....ile video inamuonyesha nani akipanga mauwaji na mateso....kwa hiyo kwenu msaki si kitu ndio mana mnaona auwawe? Zitto hana lake chadema anajilazimishia tu, namshangaa kweli
ooh! Masikini zitto my be mwana siasa hodali na mzalendo anaye fanya kazi ya kizalendo chini ya mwavuli wa wafanya biashara
why always you?
Thinking loudry?
Mbona hajawahi guswa au tajwa mbowe au dr slaa je hawa ni wasafi 100%?? Naamini ipo siku utachoka na utaamua kuwachia ila historia itakukumbuka (poor blind chadema wapo wengi hata hawawezi kupima hoja ila wanahalikia conclusion hawapimi wala hawajisumbui kufikilia wanakuchukia bila sababu ila sababu unazijua)
ushauli wangu:
Siasa sio mama yako au baba yako au mungu wako ila pigana kwa sababu bado nia unayo ya kuwatumikia watanzania!
Nakunywa bia nakuambia umekuja vibaya kuliko kawaida huwezi kuikana namba yako ambayo iko live kwenye businecard,halafu ukamtetea msaky in the expense of Lwakatere umeclear doubt za watu wengi sana kwamba wewe unahusika kuvuruga chama lakini mimi nasema why an inteligebt man like you where you went wrong and it is too late to retify hili la kujitetea hapa ni vi arrogance kibao ni vipropaganda vinacement ukweli you are caught in the circle i feel sorry for you hill halikuachi umeadhirika sanaHalafu wewe Froida ulisema unaenda kulala, lakini naona hata kulala umeahirisha ili tu uharibu mjadala uliokusudiwa.
Haifai namna hiyo...
mkuu mi nadhani hata wewe una moyo mkuu, una uvumilivu sana kutetea chama kama ccm kinachaohusishwa na ugaidi kwa watu wake chenyewe unahitaji uwe na moyo wa mwendawazimuNadhani kama Taifa
tunahitaji kutenegeneza tuzo ya mwanasiasa mvumilivu na Zitto awe mtu wa
kwanza kupewa tuzo hiyo.
Mwanasiasa mvumilivu kama Zitto bado hajatokea Tanzania. Uvumilivu wa
Zitto unaweza kuwa hazina kubwa kwa taifa...
Siasa za kijinga hizi. Hoja zimewaishia watu, wanaishiakuchafua majina!!!
Namba hiyo iliyotajwa katika TAMKO imewahi kuwa namba yangu ya Simu. Namba hii nimeacha kuitumia toka mwezi Juni/Julai mwaka 2012.
Hata hivyo namba hii bado inaonekana kwenye business card yangu na kwenye email zangu sehemu ya anuani. Namba hii haijawahi kuwa ya Zoka. Imewahi kuwa ya Zitto Zuberi Kabwe peke yake. Namba hii haitumiki toka katikati ya mwaka 2012.
Kama JF inataka kuthibitisha hili waunde jopo la wanaJF watakaopata taarifa za namba hii popote wanapoweza kupata.
Mambo 2, ama namba hii imewekwa kwa bahati mbaya kwenye tamko tajwa au imewekwa makusudi kwa sababu maalumu zenye lengo la kutoa ujumbe fulani kwa watu.
Kwa namna namba hii ilivyochomekwa kwenye tamko hili au hapa JF au vyote kwa pamoja, ni dhahiri kuna juhudi za kunihusisha na upuuzi huu wa ugaidi na unyama dhidi ya binaadamu.
Napenda kusisitiza kwamba, sihusiki kwa namna yeyote ile katika kuwaza, kupanga au kutekeleza mipango yeyote ya kudhuru mtu ama kwa njia za kigaidi au za kijinai. Sihusiki kwa namna yeyote ile kupanga mpango wowote ule wenye lengo la kuhusisha chama changu na vitendo vyovyote vya kigaidi au kudhuru mtu yeyote yule. Juhudi zozote zinazofanywa na maadui wa chama changu za kunihusisha na mambo haya zitashindwa kwani siku zote ukweli huwa bayana.
Napenda kuweka wazi kwamba Mhariri wa Mwananchi ndugu Dennis Msacky ni rafiki yangu wa karibu sana. Ninaamini kabisa kwamba katika suala hili Dennis Msacky ni victim. Juhudi zozote zile za kutaka kumgeuza 'victim' kuwa mtuhumiwa lazima zitashindwa tu kwani siku zote HAKI hutamalaki.
Mtu yeyote anayetaka kutumia urafiki wangu na Dennis Msacky kutaka kujifurahisha kisiasa ajue kuwa furaha yake hiyo itakuwa ni ya muda mfupi sana maana ukweli ukidhihiri atapata aibu kubwa sana.
Ni muhimu sasa mambo haya tuiachie mahakama itende haki.