Namba ya maulizo tanesco (luku)

Dona Kantri

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2012
Posts
346
Reaction score
115
za asubuhi wadau, leo asubuhi nimenunua umeme kupita m_pesa lakini cha ajabu ni kwamba nimetumiwa tokeni zikiwa hivi :
sasa sijaelewa kabisa. msaada namba yao niwaulize, nimetafuta kwenye web yao sijaipata.
 
za asubuhi wadau, leo asubuhi nimenunua umeme kupita m_pesa lakini cha ajabu ni kwamba nimetumiwa tokeni zikiwa hivi :
sasa sijaelewa kabisa. msaada namba yao niwaulize, nimetafuta kwenye web yao sijaipata.

Kwa faida ya wana JF wengine Pia:
  • Kwa shida yeyote inayojitokeza kuhusiana na huduma zinazopatikana kwenye M-pesa (yaana *150*00#) piga hii namba 15366 (Mpesa customer care ) - Hivyo ndugu Atom hiyo ndio namba ulipaswa kupiga.
  • Kupata token zako za LUKU/umeme piga *150*50*100300*Namba_ya_mita_ya_luku# iwapo fedha imeliwa na haujapata token. (Kama ilivyo hii case yako mkuu Atom )


Source: Mimi mwenye nilikumbana na hili tatizo jana (01 August ) asubuhi.
 
za asubuhi wadau, leo asubuhi nimenunua umeme kupita m_pesa lakini cha ajabu ni kwamba nimetumiwa tokeni zikiwa hivi :
sasa sijaelewa kabisa. msaada namba yao niwaulize, nimetafuta kwenye web yao sijaipata.

Namba yao nyingine hii 0783 313 342.
 

Problem solved, nashukuruni wote jameni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…