Namba unayopiga kwasas haipatikani

Namba unayopiga kwasas haipatikani

Nkachapwe

Member
Joined
Nov 11, 2012
Posts
6
Reaction score
0
Kulikuwa na mzee mmoja ambaye ilikuwa kila akipiga simu anaambiwa kuwa namba unayopiga haipatikani siku moja akaamua kwenda makao makuu na kukutana na muhudumu ikawa hivi

Mzee"Samahani mjukuu wangu"

muhudumu "Bila samahani Mzee unasemaje

mzee"Kuana kuna dada mmoja katika mtandao wenu ananisumbua sana kila nikipiga simu huwa ananijubu kuwa namba ninayo piga haipatikani kwahiyo nilikuwa nataka kumuona huyu dada yuko wapi?

muhudumu"Samahani mzee wangu kwaleo huo dada hajafika kazini

Mzee"Basi akija naomba ufikishe ujumbe wangu kwake kuwa umwambie aache kunisumbua
 
Mzee wakati anaondoka akaamua kupiga tena ile namba akaambiwa namba unayopiga kwa sasa haipatikani, akaamua kurudi ndani na kumwambia yule mhudumu, umenidanganya huyo dada yupo kazini leo mbona nimepiga ile namba kaniambia tena vile vile?
 
Anaenda makao makuu wakati huyo dada yupo ndani ya simu yake!angeivunja simu amchomoe huyo dada msumbufu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom