Ndugu wana JF,
inavyo onekana ni watu wa karibu wanamtumia binti huyu kunichafua kwa sms za kashfa,matusi.nimefanikiwa kumjua ni nani,anabip muda wote ni siku ya 3 sasa,namba yenyewe ni 0716799233
Sipendi kesi ni kama itanipotezea muda.
Nipeni ushauri nifanye nini?
Naweka jamvini