Mimi Ni mhitimu Wa kidato cha Sita 2012.
Niko chuo kwa sasa .
Ila nimefurahishwa sana na mfumo Wa kwenda jeshini kwa vijana Wa mwaka huu Wa masomo..
Nauliza mwenye taarifa za mtu akihitaji kujiunga kwA hiyari ukoje..?
Baada ya kumaliza chuo natamani kujiunga.
Niko chuo kwa sasa .
Ila nimefurahishwa sana na mfumo Wa kwenda jeshini kwa vijana Wa mwaka huu Wa masomo..
Nauliza mwenye taarifa za mtu akihitaji kujiunga kwA hiyari ukoje..?
Baada ya kumaliza chuo natamani kujiunga.