Nalipia dstv premier 135,000/= nalipia tanesco umeme 30,000/= imekaaje wakuu?

mahwelu

JF-Expert Member
Jun 8, 2013
322
252
Leo nimekuwa nawaza tu kipindi najiandaa kwenda kulipa bill zangu. Jana wakati naangalia mechi ya spurs na manutd jamaa wa DSTV nao wamekata. Nikaanza kujiuliza kipi hasa kinadeserve kulipiwa haraka dstv au umeme? jibu rahisi ni umeme kwani bila umeme kila kitu hamna nyumbani.

Swali ambalo lilinijia haraka tena ni kwanini napata shida kulipia umeme 30,000/= wakati unafanya mengi kwangu and yet nafurahia kulipa dstv 135,000/??

Pia nikawaza nawalipia watoto wangu ada ya primary grade 1 and grade 3 each 1,750,000/= but naumia pale shule ya msingi ya hapa kwetu wanapoomba mchango wa 20,000/=. nikawaza hivi kama wazazi tunaowasomesha watoto hizi shule za kukariri na kufaulishwa kimagumashi tukiunganisha uwezo wetu tukazichangia shule za public kweli hazitafanikisha malengo ambapo tutatoa mchango pia kwa watoto wa wenzetu wenye uchumi duni?. Nawajua wazazi wenzangu wengi tu hapa kwetu ambao tunajifanya wajanja kuwapeleka watoto mbali kumbe tunaliwa pesa nyingi tu.

Jamani nawaombeni tuweke kipengele kwenye katiba kinachomlazimisha mfanyakazi, mtawala, au mwanasiasa ambaye ni miongoni mwa wasimamaizi wa huduma za jamii katika eneo fulani alazimike naye watoto wake na yeye mwenyewe kutumia hizo huduma. Mfano nikosa mwalimu wa shule x kupeleka watoto wake shule y. diwani , mbunge, nk walazimie kuwasomesha watoto wao shule za kata kama wengine kwani haiingii akilini waziri wa elimu anapeleka watoto private schools au special schools. pia dactari na wengineo. ukianzisha sumu nawe uile.

Jamani ni wazo tu!!
 
Anza wewe kuwapeleka shule za kata. ( serikali) .

Unasomesha watoto wako shule binafsi harafu unahimiza wazazi wapeleke watoto shule za serikali.

Mbona mabwaku aya!
 
Leo nimekuwa nawaza tu kipindi najiandaa kwenda kulipa bill zangu. Jana wakati naangalia mechi ya spurs na manutd jamaa wa DSTV nao wamekata. Nikaanza kujiuliza kipi hasa kinadeserve kulipiwa haraka dstv au umeme? jibu rahisi ni umeme kwani bila umeme kila kitu hamna nyumbani.

Swali ambalo lilinijia haraka tena ni kwanini napata shida kulipia umeme 30,000/= wakati unafanya mengi kwangu and yet nafurahia kulipa dstv 135,000/??

Pia nikawaza nawalipia watoto wangu ada ya primary grade 1 and grade 3 each 1,750,000/= but naumia pale shule ya msingi ya hapa kwetu wanapoomba mchango wa 20,000/=. nikawaza hivi kama wazazi tunaowasomesha watoto hizi shule za kukariri na kufaulishwa kimagumashi tukiunganisha uwezo wetu tukazichangia shule za public kweli hazitafanikisha malengo ambapo tutatoa mchango pia kwa watoto wa wenzetu wenye uchumi duni?. Nawajua wazazi wenzangu wengi tu hapa kwetu ambao tunajifanya wajanja kuwapeleka watoto mbali kumbe tunaliwa pesa nyingi tu.

Jamani nawaombeni tuweke kipengele kwenye katiba kinachomlazimisha mfanyakazi, mtawala, au mwanasiasa ambaye ni miongoni mwa wasimamaizi wa huduma za jamii katika eneo fulani alazimike naye watoto wake na yeye mwenyewe kutumia hizo huduma. Mfano nikosa mwalimu wa shule x kupeleka watoto wake shule y. diwani , mbunge, nk walazimie kuwasomesha watoto wao shule za kata kama wengine kwani haiingii akilini waziri wa elimu anapeleka watoto private schools au special schools. pia dactari na wengineo. ukianzisha sumu nawe uile.

Jamani ni wazo tu!!
lipia na hewa basi si ni muhimu zaidi. maana bila hewa wewe haupo. vitu muhimu ni rahisi au bure, vya anasa ni ghali. ni vizuri kuwaza kwa ajili ya watanzania wote na kwa wakati wote. sio kuwaza kwa ajili yako tu na kwa uwezo ulio nao sasa. kesho hujui hata mafuta ya taa kwa koroboi yatakushinda. unaijua koroboi lakini?
 
Wakati mwingine ni vizuri kujitangaza mkuu, ukisubiri watu wajue kuwa una Ddtv na unasomesha watoto wawili kwa mamilioni watu hawajui. Hapo kiongozi umesahau kututajia mshahara wako, gari unaloendesha, nyumba ni ya kupanga au umejenga, screen unayoangalizia Dstv ni flat na ni Lcd au Led, una wadada wa kazi wangapi na kwa mwezi huwa unatoka out mara ngapi.
 
Leo nimekuwa nawaza tu kipindi najiandaa kwenda kulipa bill zangu. Jana wakati naangalia mechi ya spurs na manutd jamaa wa DSTV nao wamekata. Nikaanza kujiuliza kipi hasa kinadeserve kulipiwa haraka dstv au umeme? jibu rahisi ni umeme kwani bila umeme kila kitu hamna nyumbani.

Swali ambalo lilinijia haraka tena ni kwanini napata shida kulipia umeme 30,000/= wakati unafanya mengi kwangu and yet nafurahia kulipa dstv 135,000/??

Pia nikawaza nawalipia watoto wangu ada ya primary grade 1 and grade 3 each 1,750,000/= but naumia pale shule ya msingi ya hapa kwetu wanapoomba mchango wa 20,000/=. nikawaza hivi kama wazazi tunaowasomesha watoto hizi shule za kukariri na kufaulishwa kimagumashi tukiunganisha uwezo wetu tukazichangia shule za public kweli hazitafanikisha malengo ambapo tutatoa mchango pia kwa watoto wa wenzetu wenye uchumi duni?. Nawajua wazazi wenzangu wengi tu hapa kwetu ambao tunajifanya wajanja kuwapeleka watoto mbali kumbe tunaliwa pesa nyingi tu.

Jamani nawaombeni tuweke kipengele kwenye katiba kinachomlazimisha mfanyakazi, mtawala, au mwanasiasa ambaye ni miongoni mwa wasimamaizi wa huduma za jamii katika eneo fulani alazimike naye watoto wake na yeye mwenyewe kutumia hizo huduma. Mfano nikosa mwalimu wa shule x kupeleka watoto wake shule y. diwani , mbunge, nk walazimie kuwasomesha watoto wao shule za kata kama wengine kwani haiingii akilini waziri wa elimu anapeleka watoto private schools au special schools. pia dactari na wengineo. ukianzisha sumu nawe uile.

Jamani ni wazo tu!!

Kipengele unachotaka kuweka kwenye katiba kitapingana na misingi ya katiba ya haki za binadamu.

Katiba ni sheria mama, usitake kuweka hata sheria za wapi huruhusiwi kupenga makamasi kwenye katiba.
 
weka picha mkuu

mischa-richter-a-man-sits-in-an-armchair-watching-tv-thinking-mindless-entertainment-new-yorker-cartoon.jpg
 
hahahahahahah wakuu nawaheshimu kwa mawazo yenu but hoja muhimu mbele yenu co mahwelu na gharama zake. mahwelu nimetumia lugha ya picha ninayoyasema yanahusu hali halisi.
Kama mngetumia nafasi mliyonayo mkatafakari kwanini ni muhimu kwa sheria za nchi na maono yetu kwamba endapo wewe ni afsa elimu wa wilaya unajukumu la kusimamia elimu bora wilayani. so jambo la kupeleka watoto wako nje ya hapo ni ishara tosha kwamba unachakachua elimu or huna imani na elimu unayoisimamia and so lazima uwajibike.

Pia nilipoongelea suala la watoto kuwapeleka shule nayo inamsingi chanya katika mustakbari wa nchi yetu. Nilikuwa nawazindua wazazi ambao tunatumia gharama kubwa kwenye private schools that tuunganishe nguvu. Kwa wenye kusoma na kuelewa wangeweza kuona point zilizo ndani ya huu ujumbe. kwamaana ni kwamba heri tungekubali wazazi kulipia ada ya 50,000/ shuleni tukashiriki kuziboresha kwa manufaa ya jamii.

Am afraid kama jamii forum itakuwa inachangiwa na watu wenye 1-D thinking katika kipindi iki cha complex-D am sure tunavunjia heshima jukwaa.

wenzangu hivi nyie mlipokuwa mnasoma ngoswe penzi chanzo cha uzembe, nchi ya kusadikika, hekaya za abunuasi ... mlidhani ni kweli hivyo vitu vipo? lugha ya picha na fasihi ndio mnato wa kiswahili.

best wishes... hoja inaendelea
 
Leo nimekuwa nawaza tu kipindi najiandaa kwenda kulipa bill zangu. Jana wakati naangalia mechi ya spurs na manutd jamaa wa DSTV nao wamekata. Nikaanza kujiuliza kipi hasa kinadeserve kulipiwa haraka dstv au umeme? jibu rahisi ni umeme kwani bila umeme kila kitu hamna nyumbani.

Swali ambalo lilinijia haraka tena ni kwanini napata shida kulipia umeme 30,000/= wakati unafanya mengi kwangu and yet nafurahia kulipa dstv 135,000/??

Pia nikawaza nawalipia watoto wangu ada ya primary grade 1 and grade 3 each 1,750,000/= but naumia pale shule ya msingi ya hapa kwetu wanapoomba mchango wa 20,000/=. nikawaza hivi kama wazazi tunaowasomesha watoto hizi shule za kukariri na kufaulishwa kimagumashi tukiunganisha uwezo wetu tukazichangia shule za public kweli hazitafanikisha malengo ambapo tutatoa mchango pia kwa watoto wa wenzetu wenye uchumi duni?. Nawajua wazazi wenzangu wengi tu hapa kwetu ambao tunajifanya wajanja kuwapeleka watoto mbali kumbe tunaliwa pesa nyingi tu.

Jamani nawaombeni tuweke kipengele kwenye katiba kinachomlazimisha mfanyakazi, mtawala, au mwanasiasa ambaye ni miongoni mwa wasimamaizi wa huduma za jamii katika eneo fulani alazimike naye watoto wake na yeye mwenyewe kutumia hizo huduma. Mfano nikosa mwalimu wa shule x kupeleka watoto wake shule y. diwani , mbunge, nk walazimie kuwasomesha watoto wao shule za kata kama wengine kwani haiingii akilini waziri wa elimu anapeleka watoto private schools au special schools. pia dactari na wengineo. ukianzisha sumu nawe uile.

Jamani ni wazo tu!!

Hilo wazo umelichanganya kidogo. Hawa watu wawili ni tofauti kabisa. Anayelipa DSTV 135000 hata siku moja haogopi kulipa umeme wa 30,000. Na anayepeleka watoto Grade school za milioni haoni tabu kulipa 20,000 kwa Madenge school. Ukweli ni kwamba kuna watanzania wana uwezo wa kupata mlo mmoja tu kwa siku (tena si wa maana sana, maana matunda na madini siyo muhimu kwao). Unaweza kuwa ugali maharage/dagaa au wali maharage tu. Hao ndugu yangu hizo bill za umeme na karo ya shule ni ''kifafa'' kama siyo ''kichomi''
 
kwani uliposoma hico post hukupata jibu. Au ndio wale mnaotegemea msaada wa bunge mfaulu?

Aisee mimi nilifaulu kitambo sana kabla hata hujazaliwa.........siongelei nafsi yangu wala yako bali ya watanzania wengi........Kipi muhimu kimaisha DSTV au UMEME? kama wewe ulifaulu unaweza kuwa na akili kweli kipi ulipe kati ya hivyo viwili? Utaangaliaje DSTV huku huna umeme?.........halafu unajijibuje?

Leo nimekuwa nawaza tu kipindi najiandaa kwenda kulipa bill zangu. Jana wakati naangalia mechi ya spurs na manutd jamaa wa DSTV nao wamekata. Nikaanza kujiuliza kipi hasa kinadeserve kulipiwa haraka dstv au umeme? jibu rahisi ni umeme kwani bila umeme kila kitu hamna nyumbani.
 
Back
Top Bottom