comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,475
- 11,579
Kinachoenda kutokea ni kama tumejifungia chumba kimoja na chui halafu tunatumia vibaya risasi zinaelekea kuisha halafu chui bado hajafa, last bullet
Yani kuanzia hapo mwezi wa11 katikat mambo yatakua magumu sana kama tutashindwa kummaliza maana chui aliejeruhiwa nae atataka kuwakomesha mliomjeruhi.
Ikishindikana nataka nikatafute maisha malawi au zambia hapa bongo patakua pamoto sana haijawahi kutokea.
Na moto wake utatuunguza sisi na machawa hautaacha kitu kwa ground.
Yani kuanzia hapo mwezi wa11 katikat mambo yatakua magumu sana kama tutashindwa kummaliza maana chui aliejeruhiwa nae atataka kuwakomesha mliomjeruhi.
Ikishindikana nataka nikatafute maisha malawi au zambia hapa bongo patakua pamoto sana haijawahi kutokea.
Na moto wake utatuunguza sisi na machawa hautaacha kitu kwa ground.