IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,492
- 5,345
Hiki kng'amuzi huenda kikakosa soko kabisa, kwa sababu huku mitaani madishi yanongeza kila iitwapo leo,. Na madishi yenyewe ni ya Azamtv.
Mbali na hivyo nimefanya uchunguzi wangu, katika kila nyumba 10 zenye vinga'amuzi vya startimes, 8 kati yao hawalipii zile gaharama za kila mwezi.
Hivyo wanaishia kuangalia local chanel tu, sijui watajiendeshaje sasa kwa hali kama hii. Naliona anguko la startimes.
Mbali na hivyo nimefanya uchunguzi wangu, katika kila nyumba 10 zenye vinga'amuzi vya startimes, 8 kati yao hawalipii zile gaharama za kila mwezi.
Hivyo wanaishia kuangalia local chanel tu, sijui watajiendeshaje sasa kwa hali kama hii. Naliona anguko la startimes.