Naliona anguko la makampuni ya bia na biashara zinazotegemea uuzaji wa bia na aina zote za vilevi

Ndugu yangu acha siasa hazina maana. Hebu chukua hizo pesa zinazopelekwa then gawanya kwa idadi ya wanafunzi husika ndio utakuja kujua kwanini walimu hawataki kuwa walimu wakuu chini ya mfumo huo? Tafiti uone. Is a good start, lakini haitoshi kuendesha elimu kwa hivyo elimu inazidi kudidimia mikoani huko.

Badala ya kugawanya then mimi nakupa home work ya kuzi jumlisha uone ni kiasi gani kinapelekwa ndiyo utaelewa vizuri...ni bilions ambazo gross margin zake kwakila shilingi senti inayo pelekwa kutumiwa kuongeza thamani ya maisha utapata jumla kuu ngapi in integration, you will be amazed as compared to kama zingeangukia Darisalama zikapanda lift ya bure kwenda kwenye luxurious goods...

Uchumi ni zaidi ya hesabu...ina context yake...
 
}Idadi ya walokole itaongezeka.
}Idadi ya harusi za ukumbini zitapungua, harusi zitarudi kufanyiwa nyumbani.
}Nyama itakuwa anasa
}Biashara ya chips itadorora
}Umasikini utaongezeka
 
Itachukua muda kutoka kwenye uchumi bandia (arificial economy) uliotenegnezwa wakati wa awamu ya nne kuja kwenye uchumi halisi.

Tulikuwa tunaelekea kwenye uchumi kama wa italy. Kila kitu kilikuwa so artificial lakini mwisho wake ulifika na sasa wanahangaika mno. Uchumi wao ulisimama kwenye rushwa na madawa ya kulevya.

Ili kurudi kwenye uchumi halisi, lazima fedha za rushwa, madawa ya kulevya na meno ya tembo zipotee.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Acha uzembe masoko yanatengenezwa na ndiyo kazi ya serikali makini...utakosaje soko kwenye population kubwa hii? Juzi Rais kakitajia masoko ya East and southern Africa...huko kite ugali ndiyo chakula kikuu...hakuna ardhi kubwa na nzuri kama yetu...kwanza ng'ombe tu wanaokosa machungio ni soko lingine jama binadamu hawatoshi...
Hivi AME ushawahi hata kumiliki genge kweli weye? Maana hii sio Mara ya kwanza tunacollide na point yako juu eti kwa population hii hatuwez kosa soko? Ulishawahi Lima hata mchaichai kweli? Yaan for sure ukienda ukamwambia mkulima atakuzaba makofi.
Utatengenezaje soko wakati huku unamua mnunuzi mkubwa ?
Umesema masoko yapo southern na east Africa unajua ilivongumu kuvusha nafak kwenda nje, unajua process mzima za kufuatilia vibali wizaran ilivo ngumu ni Mara ngapi tumesikia watu wamekamtwa wakivusha mahindi mpk wapate vibali? Mbona kwenye 10mil kumi hatujaona kuombana vibali?
Ushauri tu mdogo wangu, siasa sio kila kitu zaid inawafanya mnakuwa mabwege
 
Uchumi hakuna wa sasa wala wa baadaye...imebakia kuwa hivyo hivyo in terms of institutionalization, yaani watu wanakula wanavaa na wanaishi ndani ya nyumba...kinachotofautiana ni preferences tu na programming...hiyo tiles unayoisema kama utafanya basics za uchumi ndiyo soko lake litaongezeka mara elfu...ni ulize how nitakueleza...unaona nyumba zote mbovu Tz? Hiyo ni nini kama siyo soko? Then uliza hao wata access vipi huku hawana cash hiyo ndilo jibu ambalo mchumi makini angehangaika nalo ambapo ni rahisi kulipatatia kuliko table ya pili...nipo natengeneza mfano baada ya miaka mitatu utasikia...acha nisiuze pass word kwa wakoloni...

Soko la tiles lipo kwetu zaidi ambao tunahitaji nyumba bora kuliko kule ambapo wanahitaji ku renovate tu...kanuni ya uchumi ni hivi penye matatizo mengi ndipo kwenye fursa nyingi na tafsiri sahihi ni ajira kwa watu...sasa ukimpa hiyo fursa mtu mmoja (monopoly) unaziba ajira za watu wengi sana na unapunguza strength ya maendeleo pamoja na ile ya serikali yaani kodi...kila mtu anamacho lakini nguvu na uwezo wa kuona sahihi ni kipawa na mafunzo (elimu)...tuwatumie wataalamu wapo wengi sana...hakuna kitu kinaitwa hauwezekani...mimi bahati nzuri nina neno lisemalo I can do all through him that strengthens me...na si kwa nguvu wala uweza bali kwake yeye atupaye kujua na nguvu ya kutenda sawa sawa na yeye...
All the best. Enjoy your day
 
Hivi AME ushawahi hata kumiliki genge kweli weye? Maana hii sio Mara ya kwanza tunacollide na point yako juu eti kwa population hii hatuwez kosa soko? Ulishawahi Lima hata mchaichai kweli? Yaan for sure ukienda ukamwambia mkulima atakuzaba makofi.
Utatengenezaje soko wakati huku unamua mnunuzi mkubwa ?
Umesema masoko yapo southern na east Africa unajua ilivongumu kuvusha nafak kwenda nje, unajua process mzima za kufuatilia vibali wizaran ilivo ngumu ni Mara ngapi tumesikia watu wamekamtwa wakivusha mahindi mpk wapate vibali? Mbona kwenye 10mil kumi hatujaona kuombana vibali?
Ushauri tu mdogo wangu, siasa sio kila kitu zaid inawafanya mnakuwa mabwege

Uje nikuonyeshe ninavyo vimiliki then ukane kama sina hivyo...tena kwa pesa ya mshahara mdogo niliweza tengeneza mitaji na ku invest kwenye kilimo na biashara....siongelei nadharia nilianza mwenyewe kuzi practice nikaenda shule ku confirm kama kuna hizo theory nimerudi nipo confident, siwazi utopia...najua nachokiongelea...

Na sasa nafanyia biashara elimu yangu baada ya kujilipia school fees kusoma vinavyoweza niletea tija...haikuja bure..niligomea scholarship za kwenda kusomeshwa mambo mchanganyiko zisizokuwa na focus wala direction...
 
Ongezeko lipo tena kubwa ila siyo Darisalama...pesa imepelekwa kwa watu wengi zaidi na huko wao wana spend kwa basic goods and services...waalimu wote wanalipwa kwa wakati...posho zao pia wameanza kupatiwa baada ya kusimama kwa muda mrefu...pesa za shule za msingi impact yake ni kubwa kwenye welfare huko vijijini ambapo ilikuwa haifiki...hii ina maana kubwa zaidi...mwl wa primary badala ya kuhangaika na kulima bustani na kuuza ataanza kutumia muda wake kufundisha na kwakua maandazi bado anahitaji atasababisha mtu mwingine achukue hiyo fursa na yeye kwa posho yake awe mteja...hapo umeongeza welfare japo bado hujaongeza kodi ambayo kwa wakati ule ingeangukia kwa mafisadi ambao wangeitumia kununua magari ya mtumba Japan i.e capital flight na maziwa ya Kenya...mrija wa kunyonya unekatwa...matokeo ndiyo hayo, supermarket hazina wateja lakini kule kijijini kuna watu wanatengeneza maandazi ili mwl anayepata posho ale maandazi anunue mafuta ya alizeti...kilichopungua hapo ni cash kwakua huko vijijini biashara zao hazilipi kodi kwa sasa lakini posho ikiendekea kwenye kutakuwa na building of wealth through savings na kama kuba dis-incentive kwenye imports...mwl atanunua mashine ya kusaga baadaye kwahiyo kule kijijini badala ya kuuza mahindi basi watauza unga...ili hayo yatokee lazima kuwe na coordination...ndiyo kazi ya maafisa mipango na wakurugenzi wa Wilaya...
duh...kwa hiyo uchumi wa vijijini unawategemea walimu pekee
 
Itachukua muda kutoka kwenye uchumi bandia (arificial economy) uliotenegnezwa wakati wa awamu ya nne kuja kwenye uchumi halisi.

Tulikuwa tunaelekea kwenye uchumi kama wa italy. Kila kitu kilikuwa so artificial lakini mwisho wake ulifika na sasa wanahangaika mno. Uchumi wao ulisimama kwenye rushwa na madawa ya kulevya.

Ili kurudi kwenye uchumi halisi, lazima fedha za rushwa, madawa ya kulevya na meno ya tembo zipotee.
Tukitaka tutengeneza uchumi halis lazi
Uchumi hakuna wa sasa wala wa baadaye...imebakia kuwa hivyo hivyo in terms of institutionalization, yaani watu wanakula wanavaa na wanaishi ndani ya nyumba...kinachotofautiana ni preferences tu na programming...hiyo tiles unayoisema kama utafanya basics za uchumi ndiyo soko lake litaongezeka mara elfu...ni ulize how nitakueleza...unaona nyumba zote mbovu Tz? Hiyo ni nini kama siyo soko? Then uliza hao wata access vipi huku hawana cash hiyo ndilo jibu ambalo mchumi makini angehangaika nalo ambapo ni rahisi kulipatatia kuliko table ya pili...nipo natengeneza mfano baada ya miaka mitatu utasikia...acha nisiuze pass word kwa wakoloni...

Soko la tiles lipo kwetu zaidi ambao tunahitaji nyumba bora kuliko kule ambapo wanahitaji ku renovate tu...kanuni ya uchumi ni hivi penye matatizo mengi ndipo kwenye fursa nyingi na tafsiri sahihi ni ajira kwa watu...sasa ukimpa hiyo fursa mtu mmoja (monopoly) unaziba ajira za watu wengi sana na unapunguza strength ya maendeleo pamoja na ile ya serikali yaani kodi...kila mtu anamacho lakini nguvu na uwezo wa kuona sahihi ni kipawa na mafunzo (elimu)...tuwatumie wataalamu wapo wengi sana...hakuna kitu kinaitwa hauwezekani...mimi bahati nzuri nina neno lisemalo I can do all through him that strengthens me...na si kwa nguvu wala uweza bali kwake yeye atupaye kujua na nguvu ya kutenda sawa sawa na yeye...
OK imeongea point moja lakin bado nakwambia pamoja na kuwa na idadi kubwa ya RAIA serikali ndo inaua soko. Unajua hizo biashara ndogo ambazo zinapigwa vita ndo zenye pesa. Hizo biashara za kucheza pool mchana ndo pesa zenyewe hiz sabab sio wote wanaokuwa free mchana ni wezi.
Kwa MTU ambaye ashafanya biashara ya duka LA mtaan atakubaliana na Mimi kubwa zzile bidhaaa za 100 na 50 ndo zinatembea zzaid. Unaweza maliza box kumi za juice ya 1100 kabla hujamaliza kret moja ya via. Sasa nikija kwenye yaliyoko mezan ukosefu wa pesa na mazuio na matamko ambayo kila uchwao yanatoka hayavutii uwekezaji. Walikuwa wanaenda kwenye hizo semina sio wafanyakaz wa chini basi hata kama ni wa chini basi atakuwa me Mara nyingi papuch ilihusika. Upotevu wa hela umetokana na mzunguko mdogo wa pesa ambao hakuna mwingine aliyesababisha zaid ya serikali. Toka wameanza kuimba watumishi hewa ni zaid ya miez na hakuna kinachoendelea, hii imejenga stress kwenye mabenk sasa hivi tuzungumzapo karibia mabenk yote makubwa yamesimamisha mikopo. Hiyo hela itatoka wapi. Tumezungumzia crdb kuingia hasara tukasahau ni karibia mwez wa sita haitoi mikopo wakisubiri watumisho hewa ambao mpk Leo hatujui kinachoendelea.
 
duh...kwa hiyo uchumi wa vijijini unawategemea walimu pekee

Kwanza huo ni mfano na pia ndiyo wenye sustainable income na taasisi almost pekee nje ya serikali ya kijiji inayopatikana karibu kila kijiji...umenielewa I hope!
 
Uje nikuonyeshe ninavyo vimiliki then ukane kama sina hivyo...tena kwa pesa ya mshahara mdogo niliweza tengeneza mitaji na ku invest kwenye kilimo na biashara....siongelei nadharia nilianza mwenyewe kuzi practice nikaenda shule ku confirm kama kuna hizo theory nimerudi nipo confident, siwazi utopia...najua nachokiongelea...

Na sasa nafanyia biashara elimu yangu baada ya kujilipia school fees kusoma vinavyoweza niletea tija...haikuja bure..niligomea scholarship za kwenda kusomeshwa mambo mchanganyiko zisizokuwa na focus wala direction...
unalima nini acha uongo
 
Kwanza huo ni mfano na pia ndiyo wenye sustainable income na taasisi almost pekee nje ya serikali ya kijiji inayopatikana karibu kila kijiji...umenielewa I hope!
walimu wa vijijini nao siku hizi wanalima....hawana tofauti na wanakijiji!
 
Uje nikuonyeshe ninavyo vimiliki then ukane kama sina hivyo...tena kwa pesa ya mshahara mdogo niliweza tengeneza mitaji na ku invest kwenye kilimo na biashara....siongelei nadharia nilianza mwenyewe kuzi practice nikaenda shule ku confirm kama kuna hizo theory nimerudi nipo confident, siwazi utopia...najua nachokiongelea...

Na sasa nafanyia biashara elimu yangu baada ya kujilipia school fees kusoma vinavyoweza niletea tija...haikuja bure..niligomea scholarship za kwenda kusomeshwa mambo mchanganyiko zisizokuwa na focus wala direction...
Nakwambiaje hata kama utakuwa navyo ni asante baba . maana MTU ambaye alianza kwa kufight mwenyewe hawez kuwa kama wewe. In short huna elimu yoyote ya biashara na hata kama utakuwa na nayo ni certificate in chama cha mapinduzi
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Lengo la serikali ni kuhakikisha mnashindwa hata kununua maji safi , mrudi kwenye maji ya visima au ya dawasco .

Hao polisi ndio wa kuhurumiwa sana , zile bia za extreme ( unalipa buku unapewa 3 ) walizokuwa wanapewa zimefutiliwa mbali , kwa mishahara yao hafifu wengi wamerudia gongo .
Hakuna kitu kibaya kama kugombea nafasi kubwa katika nchi, huku moyoni unajiapiza kwamba nikiingia madarakani watu flani watanikoma.
 
Back
Top Bottom