Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,972
- 3,513
Tapeli mwingine
Wanajamvi vuteni picha mtakapoanza kupigwa hizo danadana baada ya kupigwa.Wewe sio mnunuz kaka sawaa wanunuz wamesha jiakikishia wenyewe sawaa wewe endelea kuandika unavyofikiri sawa wewe ni mwanaume mm ni mwanamke na akili tumetofautiana kaka nilikuambia kama upo kwa kunikwamisha unijui nilipo anzia safari yangu ya kutafuta maisha na ujui chochote kwa kukusaidia endelea kuongea utakavyo sawaa
Kama michango yangu inakupa kiki unalalama nini?Asante kwa changamoto zako jogi unanisaidia sana ujui tu na kule nimekuacha maana walionishaur na walionifata pm na kwenye simu wamenishaur nikuache maana mteja hayuko hvyo hvyo andika uwezavyo na ufikiriavyo na akili yako wewe unachotaka mm nikutolee maneno machafu ila nimeshakuelewa watu kama wewe sipati nao shidaah jogi wapo wengi tu atanilivyoanza kufanya biashara nilikutana na mtu kama wewe hvyoo ooo wewe uto weza ni mwanamke nikamwambia sio mm wewe subri utoe macho nasasa anaona haya kwa hyoo wewe kazana sawa jogi
Tape measure nae kakushtukia, nae anakupa kiki???Jiulize ulishawai kufanya biashara na mm nd
Ndugu
Hakuna kitu kama hicho bossWanasema simu za soko la Korea zina shida kwenye baadhi ya vitu, kama USSD.
Jihadhari na simu za mitandao ya Kikorea, China na Marekani
Hakuna kitu kama hicho boss
Binafs tokea nimeanza kuzileta boss akuna alieniambia zinasumbua kaka nauwa nakuwa makin sana kwenye uchaguz wa simuMrs S Nimeshawahi nunua Pantech toka Korea na ikanisumbua. Soma hiyo thread ya Chief-Mkwawa
Mkuu, sijakuita tapeli, wala kukufananisha. Nimeeleza tabia ya huyo muhindi. Samahani kwa hilo.Kama uko serious unataka tufanye biashara njoo pm na namba hizo na sio vitu vya kuniambia au kunifananisha na watu wengine ili nikuakikishie sikutapeli na uwee na aman
Hili ni kweli ila inategemea na chaguzi za simu anazofanya mtu wakati ananunua....Wanasema simu za soko la Korea zina shida kwenye baadhi ya vitu, kama USSD.
Jihadhari na simu za mitandao ya Kikorea, China na Marekani
Asante kwa changamoto zako jogi unanisaidia sana ujui tu na kule nimekuacha maana walionishaur na walionifata pm na kwenye simu wamenishaur nikuache maana mteja hayuko hvyo hvyo andika uwezavyo na ufikiriavyo na akili yako wewe unachotaka mm nikutolee maneno machafu ila nimeshakuelewa watu kama wewe sipati nao shidaah jogi wapo wengi tu atanilivyoanza kufanya biashara nilikutana na mtu kama wewe hvyoo ooo wewe uto weza ni mwanamke nikamwambia sio mm wewe subri utoe macho nasasa anaona haya kwa hyoo wewe kazana sawa jogi
Hapo kwenye maswala ya namba kusajili hvyo hizo ni ishu zangu binafs kaka sawa na siwez kuzielezea kwa nn imekua hvyoo wewe ukiwa tayar njoo pm au nichek kwa simu ili uweze kupata uhakika wakila kitu ndio unitumie ela yako ya deposit na ujihakikishie uwee na aman kama ni mteja unae hitaji simu kakaMimi nashauri wafanyabiashara wa humu wawe ni verified members
Ongea mods ili uwe verified user ili tukituma pesa zetu ukakimbia tujue tunakupata vipi
Yes hujawahi tapeli mtu ,but what if wewe ni Kitomari au wale member wengine waliotapeli watu
Dunia imechafuka siwezi kukuamini kwa maneno matupu
Halafu,kwanini namba yako ya simu imesajiliwa jina la mwanaume.TCRA wameruhusu mke kufungua line kwa majina ya mumewe na kinyume chake?
Otherwise ni ngumu nikutumie pesa sikujui vizuri pesa ni ngumu ikiliwa kizembe inauma sana
Upo sawa kiongoz kwa walio nifata pm na inbox wamejiakikishia wenyewe kila kitu na tumeandikishana kila kitu na wamepata uhakika kiongoz narudia kusema tena mm sio tapeli kama ukiwa tayari ni mnunuz njoo pm au nichek kwa simu ili ujidhibitishie na kujidhihirisha na kuandikishana kiongozushauri
kwa mfumo huu utasubiri sana, kwanini usitafte mtaji ukanunua misimu mingi ukaleta ukafanya 'cash on delivery' sales papo kwa papo..
daily watu wanalizwa kwa style tofauti tofauti daily alert zinatumwa milizo mipya inavyogunduliwa, maneno ayo yako matam wala hayasaidii
ni hayo tu