marcs
JF-Expert Member
- Nov 2, 2016
- 1,066
- 573
Basi ntakuja pm mkuu usijaliHapa ni biashara ya simu tu mambo ya kutongozana sio hapa mkuu ujui kupigiwa mkee inaumaa
Basi ntakuja pm mkuu usijaliHapa ni biashara ya simu tu mambo ya kutongozana sio hapa mkuu ujui kupigiwa mkee inaumaa
Nafikiri ungezileta kwanza harafu ukaziuza mtandaoni kwa kutumia pesa yako c kutumia mtaji wa mtuKaribu boss
Hata kama we ni mchawi ila umezidi mkuu .nimekusoma toka kwenye uzi uliopitaWe tapeli umeukimbia Ule uzi unaanzisha mwingine?

Hata mi nimeona uz alioukimbiaHata kama we ni mchawi ila umezidi mkuu .nimekusoma toka kwenye uzi uliopita![]()
![]()
![]()
Nimefanya hvyo tayar na zimebakiNafikiri ungezileta kwanza harafu ukaziuza mtandaoni kwa kutumia pesa yako c kutumia mtaji wa mtu
Sijaukimbia ila watu walinishaur chamsingi kuna wengne tulikuwa tunajibishana nikaona sio vema kujibishana na uku aipendez ndio maana nikaandika upya mnunuz ambae anataka tufanye biashara ili tuaminiane anichek kwa namba hzo na tuandikishane ataserikal za mitaa na vingnevyo ili aweze kuniamini kuweka depost yakeHata mi nimeona uz alioukimbia
Note 5 unaleta bei gani?