Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,052
- 6,702
Tafuteni mitaji mfanye biashara mtu anatoa pesa unampa mzigo. Sio mambo ya kina Kelvin Isaya na ma mods walimlinda pia humu hakueleweki aisee
Swali zuri sanASA si ulete kwenye begi kisha uuze kuliko kutaka kuwaibia watu,vipi nikupe hela harafu Mara ufe kwa gafla nitapataje pesa Yangu,au Mimi nikifa itakuwaje,au uibiwe hela itakuaje,mi situmi bwana
Kitomari alinitapeli elfu sabini na nilikuwa ninajinyima mno ila Mungu ameshamuadhibu vya kutoshaCc.Kitomari
Kiukweli kwa hapo ntakuwa mgeni kaka sijawai kukutana na kesi kama hyo hvyo ningumu kujua kakamkuu kuna sim ya mzee wangu imekufa kioo na ilinunuliwa huko huko korea ni aina ya lg, kinaweza kupatikana? na kwa shilingi ngapi?
Gold ni 300000 kamili na black ni 350000 ila gold kwenye kamera imemeguka kidogo kutokana na ubebaji boss ila iko vizur na inafanya kaz vizur tu na lg prada ni 250000 mpaka 200000 mwisho
Natumaini wewe ni jinsia ya kike dada bila shaka mm sijasema natafuta mtaji soma vizur kichwa cha habar dada alafu watu tupo tofaut dada angu cha kujiuliza ulishawai kufanya biashara na mm ukakutana na hayo ya kelv sijui na nani labda utakapo kuwa unasema hvyo uwee unasema mm huyu nilishawai kumuagza simu akanitapeli hvyo kuwen makin na sio kusema tu dada pasipo kujuaTafuteni mitaji mfanye biashara mtu anatoa pesa unampa mzigo. Sio mambo ya kina Kelvin Isaya na ma mods walimlinda pia humu hakueleweki aisee
Kaka angu umeniambia unataka simu gani nikakutajia bei je umefikia hatua yakusema tufanye biashara unipe hyo advance alafu tuandikishane na nikupe watu wawe ndio dhamana sio wakijinga jinga wanaoeleweka alafu utakapo ipata simu yako urud tena uandike kwamba mm sio tapeliHuo ndio utapeli wenyewe kwanini usituhakikishie hapahapa... Mbinu unazotumia ni za kizamani sana
Ukifikia unataka kufanya biashara na mm nichek kwa hyo namba uje tuakikishiane alafu urud kwenye uzi huo uonge uliokuwa unaniwazia ndugu yangu wengine dhuluma atujazoea nduguKitomari alinitapeli elfu sabini na nilikuwa ninajinyima mno ila Mungu ameshamuadhibu vya kutosha
Natumaini wewe ni jinsia ya kike dada bila shaka mm sijasema natafuta mtaji soma vizur kichwa cha habar dada alafu watu tupo tofaut dada angu cha kujiuliza ulishawai kufanya biashara na mm ukakutana na hayo ya kelv sijui na nani labda utakapo kuwa unasema hvyo uwee unasema mm huyu nilishawai kumuagza simu akanitapeli hvyo kuwen makin na sio kusema tu dada pasipo kujua
Nimeshafanya na nimeleta mzigo tokea mwaka jana mwez 12 nilikuja nazo na zimebak tatu namzunguko wake uko slow sana na ndio maana nikasema kwa order ili nikileta mzigo uzunguke kwa haraka na kuisha fasta my dearWewe nunua bidhaa uzitangaze humu akiipenda mtu aje akupe cash umpe mzigo biashara sijui umuagizie ni issue.
Hii bei mbona juu huku ukifata china sasa si sawa na kununua k/koo bila order mkuu mtu amesubili halafu bei mbaya sasa utamshawishi vipi mtu!!32gb mpya kabsa inakuja na box lake 1milion
Kuna jamaa ni muhindi anaitwa Ridhaa. Nae ana kurasa FB anaiita Ridhaa Phone. Ndio lugha zake hizo. Eti simu na smart watch zake ziko Zanzibar, tunapokelea huko halafu wanaleta Dsm. Jamaa hafai kabisa.Haha mkatapeli watu ooh simu ziko Zanzibar lipia tukuletee kumbe utapeli
Product za korea na china nitofauti kaka chunguza kariakoo kupata simu original utakesha bosi na korea kiwanda kinacho tengeneza vitu feki avina maisha tofaut na china kopy nying sana kakaHii bei mbona juu huku ukifata china sasa si sawa na kununua k/koo bila order mkuu mtu amesubili halafu bei mbaya sasa utamshawishi vipi mtu!!
Kama uko serious unataka tufanye biashara njoo pm na namba hizo na sio vitu vya kuniambia au kunifananisha na watu wengine ili nikuakikishie sikutapeli na uwee na amanKuna jamaa ni muhindi anaitwa Ridhaa. Nae ana kurasa FB anaiita Ridhaa Phone. Ndio lugha zake hizo. Eti simu na smart watch zake ziko Zanzibar, tunapokelea huko halafu wanaleta Dsm. Jamaa hafai kabisa.
Amesema anatoa North koreaSimu unazitoa korea IPI?