Mr fantastic_
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 1,152
- 1,351
Wakuu amjambo!
Naleta shukrani zangu za dhati Kwa wote ambao mlinipa michango yenu nilipoleta Uzi wangu wa kuomba ushauri wapi ntapata vibarua vya saidia fundi,
Vibarua nilivipata nimefanya miezi sita lengo langu likiwa ni kupata mtaji nianze bishara Nina furaha sana haikuwa kazi nyepesi, saidia fundi ni kazi ngumu sana kabisa kuhenyeka siku nzima sio mchezo kabisa.
Nina furaha sana,
Asanteni wakuu.
Naleta shukrani zangu za dhati Kwa wote ambao mlinipa michango yenu nilipoleta Uzi wangu wa kuomba ushauri wapi ntapata vibarua vya saidia fundi,
Vibarua nilivipata nimefanya miezi sita lengo langu likiwa ni kupata mtaji nianze bishara Nina furaha sana haikuwa kazi nyepesi, saidia fundi ni kazi ngumu sana kabisa kuhenyeka siku nzima sio mchezo kabisa.
Nina furaha sana,
Asanteni wakuu.