Nakwama wapi....?

Nakwama wapi....?

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Habari za mwisho wa wiki wana Mahusiano na Mahaba.

Wiki iliyopita nilienda kwenye ofisi flani kupata huduma, nikiwa kwenye foleni akapita baba mmoja mtanashati tuu na yeye alikuwa anapata huduma pale. Tulikuwa wateja wengi ila kwanini nilizubaa kwake sababu ya muonekano wake kuanzia mavazi, tembea ongea, manukato, ile kuangalia taswira ndo nikakumbuka kumbe ni Allen....

Nikaanza kuvuta taswira nyuma ya wale wanaume wangu kwanini wote walikuwa na asili ya kanda ya kaskazini ila siku hiyo pia nikatambua wote walikuwa handsome man kwelikweli, nikisema handsome ujue taswira zao walifanana na mama zao...

Nikajikuta najiuliza, je nilikiwa nachagua wanaume mahandsome tuu nikasema hapa ilikuwa inatokea tuu...
Kisha nikajiuliza tena, mbona Kasinde mie sikiwa mrembo mithili ya kina Wema Sepetu au Lulu Michael au Lavy Makeup??..!!! Ilikiwaje sasa ma handsome kwa nyakati tofauti wote wakawa na mahaba na Kasinde...!!??

I know the beauty is on the eye of the beholder, though asili ya kisomali ilinipa credit wakani niko mschana ila sikuwa mschana wa kumfanya handsome man anitolee machozi kunipata....

Well yes, wa humu JF niliomahabika nao wote ma handsome wakiongozwa na dash dash, Ticha Jael......et al.


NB: sijataja mtu, sijanyooshea mtu kidole, sijamsimanga mtu. I just voice out my mind.

Picha angalia avatar yangu na nyingine niliweka kwenye nyuzi zangu za zamani.

Granny Matata.
 
Mapenzi ya uzeeni tabu sana maana hata busu tu inabidi ujiandae kisaikolojia! Kwani unaweza ukaachiwa meno ya bandia mdomoni!!😜
Usikute hata hawakuwa ma handsome kunizidi ila jicho lako tu lilikuwa likiimarisha ule usemi usemao mapenzi ni upofu!!! Ha ha
 
Mapenzi ya uzeeni tabu sana maana hata busu tu inabidi ujiandae kisaikolojia! Kwani unaweza ukaachiwa meno ya bandia mdomoni!!😜
Usikute hata hawakuwa ma handsome kunizidi ila jicho lako tu lilikuwa likiimarisha ule usemi usemao mapenzi ni upofu!!! Ha ha


Aahahahhahahaaa looh wee mtoto sikuwezi aiseeh, Seengeeeh kabisaa.
Ila asante kwa kunipa tabasamu jioni Hii kabla sijatoka kwenda kuyarudi magoma bin majoka.

Umeongea jambo la maana..... Itabidi niache kula denda japo nalipenda sana maana naweza sababisha mada kesi mtu akimeza na akakabwa na meno yangu bandia aahahahahaaaa looh.

Sema tuu unataka nikuwekee picha zao, siweki ng'oo....
Kama nikiweka picha ya Allen hapa bado watasema huyo sie.... Labda walikuwa wanavutiwa na Mahaba.
 
Kasie,
Denda kula ila uwe unayatoa kwanza!! Itabidi wajikaze tu hakuna namna watafanyaje ndo mke kipengo walienae😜

Ila kuna kapicha kako ka ujana walahi kananitoaga kimasomaso! Ningekuwepo wkt huo naapa ningekukula mzimamzima!!
 
Denda kula ila uwe unayatoa kwanza!! Itabidi wajikaze tu hakuna namna watafanyaje ndo mke kipengo walienae😜

Ila kuna kapicha kako ka ujana walahi kananitoaga kimasomaso! Ningekuwepo wkt huo naapa ningekukula mzimamzima!!


Kenzy ujue mie ni bibi yako aahahahahahaaaa wee nichekeshe nikikauka bandama sijui utaniuguza.... Ila now on denda nimeachana nalo naona dalili za madhara ni nyingi kuliko utamu.

Hako kapicha hakooo.... Tasavali kahifadhi hapohapo kalipo, usikamuvuzishe popote paleee wee mumunya ubuyu, meza, tumba unaweza itema au tafuna umeze yaliyomo maganda tema.

Na Mungu alijua ndo maana hakukuumba wakati niko kijana aahahahahhaaa.

Granny Matata.
 
Kasie, achana na huto tuzee twako njoo nikuchangamshe urudi umechoka ulale uniote,tuotane😎😜😜😜
 
KENZY,


Aahahahahahhaaaaa looh, Kenzy hebu niache na handsome wangu kiBabu Ally.
 
Kwanini usiwe kama yule bibi mwenzio wa "Ujinga"?? nimemsahau jina
 
Nikuache wakati umeshamtoa nyoka pangoni!!! Pambana nae sasa..

Sishindwi kupambana nae, nahofia kumteka kijasusi kiasi kwamba atasahau pango lake la zamani. Halafu huwa sipendi kesi za kuwa nimebemenda mtu...

Jionee huruma basi usijetekwa na jasusi Matata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom