Nakusisitiza na nina kusisitiza

Nakusisitiza na nina kusisitiza

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
6,503
Reaction score
18,950
Zingatia haya maneno sana

Ukumbusho wa kila mwezi:

Jiepushe na mke wa mtu mwingine,

— hata kama ni mzuri kama pundamilia
— hata kama ana matatizo ya ndoa
— hata kama anaonekana anavutia/kuchochea
— hata kama mume wake anaonekana dhaifu.

Jiepushe kabisa.

Utauliwa, na tutakutumia kama mfano.

#ManDay
 
Zingatia haya maneno sana

Ukumbusho wa kila mwezi:

Jiepushe na mke wa mtu mwingine,

— hata kama ni mzuri kama pundamilia
— hata kama ana matatizo ya ndoa
— hata kama anaonekana anavutia/kuchochea
— hata kama mume wake anaonekana dhaifu.

Jiepushe kabisa.

Utauliwa, na tutakutumia kama mfano.

#ManDay
Hakika mkuu, Mimi mbunye ya mke wa mtu na mwanafunzi,, sitozigusa mpaka kuzikwa kwangu,, ni hatari kama ukoma,. Ukifumwa tu huna lako.
 
Yana run kwa wajinga na walimbukeni

Wewe tokea umeanza na mapenzi mpaka sasa kuna kitu cha maana ulicho wahi kupata kwenye mapenzi unaweza kukionyesha?

Nje ya uzazi mapenzi ni upumbavu fulani hivi unaendekezwa
Yamenirarua tu na kunipa stress za maisha😂
 
Zingatia haya maneno sana

Ukumbusho wa kila mwezi:

Jiepushe na mke wa mtu mwingine,

— hata kama ni mzuri kama pundamilia
— hata kama ana matatizo ya ndoa
— hata kama anaonekana anavutia/kuchochea
— hata kama mume wake anaonekana dhaifu.

Jiepushe kabisa.

Utauliwa, na tutakutumia kama mfano.

#ManDay
Ila mimi nawatafuna sana. Kuna mmoja hapa jirani mbangladesh anavaaga ninja nimeshagonga mara mbili laundry room. Mgusisha ukuta.
Tafuna bila huruma .
 
Tamaa mbele, mauti nyuma..

Jamaa wanaona kama wahenga walikuwa wanachekesha
 
Back
Top Bottom