Nakushauri usomee program ya Bsc. in Optometry

Nakushauri usomee program ya Bsc. in Optometry

Joined
Jul 6, 2012
Posts
44
Reaction score
8
Kama umehitimu kidato cha sita PCB, PCM, CBG au PGM nakushauri uchague Bachelor of science in Optometry. Ni program mpya katika chuo cha KCMUCo, Moshi.
Optometry ni eye health care professional.
Nakaribisha maswali Zaidi.
 
Kama umehitimu kidato cha sita PCB,PCM,CBG au PGM nakushauri uchague Bachelor of science in optometry, ni program mpya katika chuo cha KCMUCo ,moshi.
Optometry ni eye health care professional.
Nakaribisha maswali Zaidi.

Sawa umewasaidia ila umeshindwa tu pia kuwaambia ukweli kuwa programs mpya zozote huwa zinachukuwa muda hadi kuja ku click katika industry hivyo wawe tayari pia kwa usumbufu wa kuajirika. Kila kitu hata kama ni kipya lakini kina madhara yake au changamoto zake.
 
Sawa umewasaidia ila umeshindwa tu pia kuwaambia ukweli kuwa programs mpya zozote huwa zinachukuwa muda hadi kuja ku click katika industry hivyo wawe tayari pia kwa usumbufu wa kuajirika. Kila kitu hata kama ni kipya lakini kina madhara yake au changamoto zake.
kaka hii ni health care profession ambayo nchi yetu bado ina upungufu wa wataalamu wa afya kwahyo hicho ulichokisema hakipo, Diploma ipo tangu muda na hakuna graduate wa diploma wanaokosa kazi. kwaiyo bachelor degree haitakuwa na usumbufu kama huo kabisa.
 
kaka hii ni health care profession ambayo nchi yetu bado ina upungufu wa wataalamu wa afya kwahyo hicho ulichokisema hakipo, Diploma ipo tangu muda na hakuna graduate wa diploma wanaokosa kazi. kwaiyo bachelor degree haitakuwa na usumbufu kama huo kabisa.

By the way I am not a Scientist so see you Mkuu.
 
Mkuu Ulichotushauri Ni Kizuri ila Umesahau Kitu Kimoja Muhimu Sana Kukizungumzia Ndani Ya Ushauri Wako! Si Chengine Bali Ni "Tuition Fee & Possible Loan Amount".

Mkuu Kuhusu Program hii ya optometry, Kwenye TCU-GuideBook Wametuelekeza Hivi:-

Tuition Fee: 4,400,000
Possible Loan Amount: 2,800,000

Sasa Hapo Mkuu Nilichofahamu Mimi Ni Kuwa Chuoni Utalipa 4,400,000! Lakini Mkopo utakaopewa Ni 2,800,000/=
Inamana Hapo Kwa Ufahamu Wangu Ni Kuwa Unaongezea Pesa Zako Mwenyewe 1,600,000/=
Sasa Mkuu Masikini Kama Mimi Na Wenzangu Tutaupokeaje Ushauri Kama Huu?

Mkuu 1,600,000 ni Hela Ndefu Sana Kwa Mtu Kama Mimi ambaye Sifa Ninazo Lakini Kwa Vyuo Kama KCMC, CUHAS, HKMU, tunaishia Kuviangaliaga tu Lakini Standard Za Maisha Zinatuzuia Kuvisoma.

Nilipokosea Nirekebishe usinilaumu.
 
Mkuu Ulichotushauri Ni Kizuri ila Umesahau Kitu Kimoja Muhimu Sana Kukizungumzia Ndani Ya Ushauri Wako! Si Chengine Bali Ni "Tuition Fee & Possible Loan Amount".

Mkuu Kuhusu Program hii ya optometry, Kwenye TCU-GuideBook Wametuelekeza Hivi:-

Tuition Fee: 4,400,000
Possible Loan Amount: 2,800,000

Sasa Hapo Mkuu Nilichofahamu Mimi Ni Kuwa Chuoni Utalipa 4,400,000! Lakini Mkopo utakaopewa Ni 2,800,000/=
Inamana Hapo Kwa Ufahamu Wangu Ni Kuwa Unaongezea Pesa Zako Mwenyewe 1,600,000/=
Sasa Mkuu Masikini Kama Mimi Na Wenzangu Tutaupokeaje Ushauri Kama Huu?

Mkuu 1,600,000 ni Hela Ndefu Sana Kwa Mtu Kama Mimi ambaye Sifa Ninazo Lakini Kwa Vyuo Kama KCMC, CUHAS, HKMU, tunaishia Kuviangaliaga tu Lakini Standard Za Maisha Zinatuzuia Kuvisoma.

Nilipokosea Nirekebishe usinilaumu.
hyo ni possible loan mkuu lkn wanafunzi waliodahiliwa mwaka jana tuition fee loan wamepata 3.1M ina maana wao wanaongeza iliyobaki kwaiyo unaweza ukajichanga kiasi kinachobaki mkuu if possible.
 
Je physiotherapy na hiyo ipi iko vzr zaidi? Msaada tafadhalli maana mimi nimeomba physiotherapy
 
hyo ni possible loan mkuu lkn wanafunzi waliodahiliwa mwaka jana tuition fee loan wamepata 3.1M ina maana wao wanaongeza iliyobaki kwaiyo unaweza ukajichanga kiasi kinachobaki mkuu if possible.
Kwani Mkuu Pale inapoandikwa Possible Loan si Ndiyo inamaanisha Kuwa Hiyo Ndiyo Hela Ya Mkopo ya Tuition Fee utayopewa na si Zaidi ya Hiyo?
 
Direct cost ya optometry hapo kcmc ni sh ngap
hellow, kuhusu direct cost ya optmetry through out a year ni 4.4m, kama walivyoainisha kwenye TCU guide bk,
imetofautiana na ile ya MD kwa 1k tuu cz MD ni 4.3m per year bt tht ws a last year scale.
4 mre ellaborations keep on asking, & it wld be ma pleasure to answer u,
thnk u.
Sawa umewasaidia ila umeshindwa tu pia kuwaambia ukweli kuwa programs mpya zozote huwa zinachukuwa muda hadi kuja ku click katika industry hivyo wawe tayari pia kwa usumbufu wa kuajirika. Kila kitu hata kama ni kipya lakini kina madhara yake au changamoto zake.
 
Back
Top Bottom