Sitaki kuonekana mchochezi...🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿Moja kwa moja kama ilivyo kwenye kicha cha habari hapo juu, yeyote aliye na speech zilizoandikwa za rais akiongelea kuhusu mustakabali wa maendeleo ya taifa letu tukufu, basi anaweza kutuwekea hapa ili tuweke kumbukumbu sawa.
yakutoka moyoni amaficheMoja kwa moja kama ilivyo kwenye kicha cha habari hapo juu, yeyote aliye na speech zilizoandikwa za rais akiongelea kuhusu mustakabali wa maendeleo ya taifa letu tukufu, basi anaweza kutuwekea hapa ili tuweke kumbukumbu sawa.
Kwahiyo tuogope kifo au tuone kawaida?1. "msituletee magwajima"
2. "Kifo ni kifo tu"
Ukipata hata moja kuna 1M hapa nakupaMoja kwa moja kama ilivyo kwenye kicha cha habari hapo juu, yeyote aliye na speech zilizoandikwa za rais akiongelea kuhusu mustakabali wa maendeleo ya taifa letu tukufu, basi anaweza kutuwekea hapa ili tuweke kumbukumbu sawa.
Hili liliniliza sana🤣🤣🤣🤣Ukipata hata moja kuna 1M hapa nakupa
Lucas Mwashambwa atazileta. Namsubiri aje hapa.Nasubiri kwa hamu
Iko poa hii speech. Iweke hapa mkuu. Au alitoa lini tuisake?vipaumbele vikuu vya serikali na katika hotuba
---
1. Mapambano Dhidi ya Rushwa na Ubadhirifu
Kuimarisha nidhamu ya matumizi ya rasilimali za umma.
Kudhibiti mianya ya rushwa serikalini na kwenye taasisi za umma.
Kuwajibisha viongozi wazembe na wanaohusika na ubadhirifu wa mali ya umma.
---
2. Ujenzi wa Miundombinu ya Uchumi
Barabara: Kuongeza ujenzi na ukarabati wa barabara za mikoa na wilaya.
Reli: Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza na Kigoma.
Bandari: Kuboresha Bandari ya Dar es Salaam na nyinginezo.
Usafiri wa anga: Ununuzi wa ndege mpya kwa ajili ya kuimarisha Shirika la Ndege la ATCL.
---
3. Elimu Bila Malipo
Kuondoa ada kwa shule za msingi hadi sekondari ili kuwezesha watoto wote kupata elimu.
Ujenzi wa madarasa na kuongeza walimu.
---
4. Afya kwa Wote
Ujenzi wa vituo vya afya, zahanati, hospitali za wilaya na mikoa.
Kuboresha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba.
Kupandisha hadhi ya hospitali ya Muhimbili na nyinginezo.
---
5. Viwanda na Uchumi wa Kati
Kukuza uchumi kupitia ujenzi wa viwanda vya ndani (sera ya Tanzania ya viwanda).
Kuhamasisha uwekezaji wa viwanda vya usindikaji wa mazao ya kilimo na madini.
---
6. Nishati (Umeme)
Mradi mkubwa wa kufua umeme – Mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere (Stiegler’s Gorge).
Kupeleka umeme vijijini kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA).
---
7. Kilimo, Mifugo na Uvuvi
Kuboresha miundombinu ya umwagiliaji na masoko ya mazao.
Uboreshaji wa huduma za ugani na pembejeo.
Kuhamasisha ufugaji wa kisasa na uvuvi endelevu.
---
8. Uadilifu, Uzalendo na Uwajibikaji
Rais Magufuli alisisitiza kufanya kazi kwa bidii (“Hapa Kazi Tu”).
Kupunguza matumizi yasiyo ya lazima serikalini (mfano: safari za nje).
Kuwahimiza viongozi kuwatumikia wananchi moja kwa moja.
---
Wewe ni Lucas Mwashambwa au Tlaatlaah ?vipaumbele vikuu vya serikali na katika hotuba
---
1. Mapambano Dhidi ya Rushwa na Ubadhirifu
Kuimarisha nidhamu ya matumizi ya rasilimali za umma.
Kudhibiti mianya ya rushwa serikalini na kwenye taasisi za umma.
Kuwajibisha viongozi wazembe na wanaohusika na ubadhirifu wa mali ya umma.
---
2. Ujenzi wa Miundombinu ya Uchumi
Barabara: Kuongeza ujenzi na ukarabati wa barabara za mikoa na wilaya.
Reli: Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza na Kigoma.
Bandari: Kuboresha Bandari ya Dar es Salaam na nyinginezo.
Usafiri wa anga: Ununuzi wa ndege mpya kwa ajili ya kuimarisha Shirika la Ndege la ATCL.
---
3. Elimu Bila Malipo
Kuondoa ada kwa shule za msingi hadi sekondari ili kuwezesha watoto wote kupata elimu.
Ujenzi wa madarasa na kuongeza walimu.
---
4. Afya kwa Wote
Ujenzi wa vituo vya afya, zahanati, hospitali za wilaya na mikoa.
Kuboresha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba.
Kupandisha hadhi ya hospitali ya Muhimbili na nyinginezo.
---
5. Viwanda na Uchumi wa Kati
Kukuza uchumi kupitia ujenzi wa viwanda vya ndani (sera ya Tanzania ya viwanda).
Kuhamasisha uwekezaji wa viwanda vya usindikaji wa mazao ya kilimo na madini.
---
6. Nishati (Umeme)
Mradi mkubwa wa kufua umeme – Mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere (Stiegler’s Gorge).
Kupeleka umeme vijijini kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA).
---
7. Kilimo, Mifugo na Uvuvi
Kuboresha miundombinu ya umwagiliaji na masoko ya mazao.
Uboreshaji wa huduma za ugani na pembejeo.
Kuhamasisha ufugaji wa kisasa na uvuvi endelevu.
---
8. Uadilifu, Uzalendo na Uwajibikaji
Rais Magufuli alisisitiza kufanya kazi kwa bidii (“Hapa Kazi Tu”).
Kupunguza matumizi yasiyo ya lazima serikalini (mfano: safari za nje).
Kuwahimiza viongozi kuwatumikia wananchi moja kwa moja.
---
Ni mipasho mwanzo mwishoLucas Mwashambwa atazileta. Namsubiri aje hapa.
Soma paragraph ya mwisho hapo, utajuq ni vipao mbele vya nani? Na kisha useme imefanyika au haikufanyika.Wewe ni Lucas Mwashambwa au Tlaatlaah ?
Moja kwa moja kama ilivyo kwenye kicha cha habari hapo juu, yeyote aliye na speech zilizoandikwa za rais akiongelea kuhusu mustakabali wa maendeleo ya taifa letu tukufu, basi anaweza kutuwekea hapa ili tuweke kumbukumbu sawa.