Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,721
- 126,568
Hayo pia ni makosa yake.Mhhh hata ninyi?! Mimi JK namchukia kwa maamuzi yake ya dk za mwisho mwisho, alipoamua kuivuruga tume (NEC) ya uchaguzi, kwa kuwaondoa makamishina wa kweli, na kuwaleta wataalam wa IT wa vyombo vya dola na kisha kuangukia Chato.
Bahati mbaya viongozi wetu wanafikiri, kwa kuwa wanatuamulia ktk mambo ya uongozi ki taifa na kimataifa, wanadhani hata ktk uchaguzi lazima watuamulie, hili ni kosa watuache tuchague!!
Sio vibaya tukimkumbuka kwa machache mazuri aliyoyafanya.
Japo ametuletea Dhalimu anatutafuna kweli kweli