Nakupongeza DED Chalinze

Nakupongeza DED Chalinze

Mfournykerge

Member
Joined
May 6, 2017
Posts
5
Reaction score
4
Ni leo katika kikao cha waalimu waliohamishiwa sekondari, Pongezi kwako kwa kusimamia kauli ya Mh Rais kwamba mtumishi ahame mpaka pale atakapopewa pesa za uhamisho, pia ombi langu naomba uunde tume huru ya kuchunguza manake zoezi hili halijaendeshwa kwa haki hususani katika shule tulizokuambia,naimani utapokea pongezi zangu
 
Ni leo katika kikao cha waalimu waliohamishiwa sekondari, Pongezi kwako kwa kusimamia kauli ya Mh Rais kwamba mtumishi ahame mpaka pale atakapopewa pesa za uhamisho, pia ombi langu naomba uunde tume huru ya kuchunguza manake zoezi hili halijaendeshwa kwa haki hususani katika shule tulizokuambia,naimani utapokea pongezi zangu
Hata ningekuwa mimi ningewatoa wale wote wanaoninyima usingizi katika kazi zangu
 
Huyo DED ni jembe, ndo watu tunaowahitaji nchi hii. Ni mwendo wa kutizama sharia na taratibu tuu. Hamna longo longo!
 
Back
Top Bottom