Mnhhhhh again, Mods futa huu upotolo.....hata wewe ukitaka kudhalilishwa nitawaambia mods wafute,ni responsibility ya kila mwanajeiefu..kulinda wengine, as for mods, ni kweli ukiwaambia wafute wanaangalia contents kama zimelenga kumu harass mtu wanazifuta,na wao ni binadamu therefore inapaswa kuwakumbusha, mwisho unaweza kuniweka kwenye ignore list, kama hufagilii ninachoandika.bye.