Mtaani kwetu unapata kwa 20k hiyo raba.
bei ni tsh. Ngapi boss!wazee sina hiyana
Nashukuru kwa mirejesho n kukuwa kwa network. Siwez kuwaacha nyuma hata kidogo... Tuko pamoja
Raba hii hapo chini bei ya jumla ni elf 40 zinakaa pea 24, ukitaka kuanzia tano ni elf 48 na moja ni 55 tu.
Bei ya chimboView attachment 3130917View attachment 3130917View attachment 3130918View attachment 3130920View attachment 3130920.... ningelitaja hapa ila naona nitaharibu biashara za watu
Karibu tujadili
Poa, karibuLet's renegotiate inbox broh
Pale kino 30 tu.Mtaani kwetu unapata kwa 20k hiyo raba.
acha uduanziMtaani kwetu unapata kwa 20k hiyo raba.
Kuna maduka karibu na njia panda ya magomeni na moroko.Mbagala kwenyewe hiyo ni elf 6 mia tano
Mzee wa codes, American Boot (Timberland) zinakwendaje bei ya chimbo?American buti sio? Au nyie ndo mnovaa safety boot mtaan?