Nakumbuka Rais alizuia sherehe zisizo na tija

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Nakumbuka wakati rais anawaapisha wateule wake ma-RC, DC, DAS, DED alipiga marufuku kufanya sherehe zisizo za lazima ikiwa ni mwendelezo wa kubana matumizi, alisema, "yeyote atakayefanya sherehe ya kujipongeza aandae pia sherehe siku ya kutumbuliwa".

Alizuia sherehe ya siku ya Ukimwi duniani, alizuia sherehe ya kuzima mwenge, alizuia sherehe ya Uhuru.

Mkuu wa mkoa wa Dar anatoa wapi ujasiri wa kupingana na bosi wake.
 
Alizuia sherehe ya siku ya Ukimwi duniani, alizuia sherehe ya kuzima mwenge, alizuia sherehe ya Uhuru.

Nakumbuka wakati rais anawaapisha wateule wake ma-RC, DC, DAS, DED alipiga marufuku kufanya sherehe zisizo za lazima ikiwa ni mwendelezo wa kubana matumizi, alisema, "yeyote atakayefanya sherehe ya kujipongeza aandae pia sherehe siku ya kutumbuliwa".

Mkuu wa mkoa wa Dar anatoa wapi ujasiri wa kupingana na bosi wake.

Hiyo ilikuwa sherehe? Unajua definition ya sherehe kweli wewe?

Kwenye Public Holidays Act hiki chakula cha mchana cha Makonda kinatafsiriwa kama sherehe? Bavicha naona athari ya viroba kwenu haijamalizika.
 
sidhani kama zonje huwa ana kumbukumbu nzuri ya maagizo ama maigizo yake. alifuta sherehe za uhuru mwaka 2015 kama njia ya kubana matumizi ya pesa za walipa kodi lakini mwaka 2016 pesa za walipa kodi ziliishakuwa nyingi muno na hivyo sherehe zilifanyika kwa mbwembwe nyingi utafikiri sio mtu yule yule wa 2015 na tanzania sio ile ile ya 2015.
 
Nakumbuka wakati rais anawaapisha wateule wake ma-RC, DC, DAS, DED alipiga marufuku kufanya sherehe zisizo za lazima ikiwa ni mwendelezo wa kubana matumizi, alisema, "yeyote atakayefanya sherehe ya kujipongeza aandae pia sherehe siku ya kutumbuliwa".

Alizuia sherehe ya siku ya Ukimwi duniani, alizuia sherehe ya kuzima mwenge, alizuia sherehe ya Uhuru.

Mkuu wa mkoa wa Dar anatoa wapi ujasiri wa kupingana na bosi wake.

Mihemko ndio inaongoza nchi, sio weledi.

Kila wakiamka wanaleta ndoto zao kwenye vipaza sauti na kufikiria ndio ajenda ya siku.
 
Hiyo ilikuwa sherehe? Unajua definition ya sherehe kweli wewe?

Kwenye Public Holidays Act hiki chakula cha mchana cha Makonda kinatafsiriwa kama sherehe? Bavicha naona athari ya viroba kwenu haijamalizika.
Sherehe ni sherehe tu hata uiite jina gani, iwe kitchen part, kipaimara, ubatizo, harusi, maulid au get together ni sherehe tu.
 
Nakumbuka wakati rais anawaapisha wateule wake ma-RC, DC, DAS, DED alipiga marufuku kufanya sherehe zisizo za lazima ikiwa ni mwendelezo wa kubana matumizi, alisema, "yeyote atakayefanya sherehe ya kujipongeza aandae pia sherehe siku ya kutumbuliwa".

Alizuia sherehe ya siku ya Ukimwi duniani, alizuia sherehe ya kuzima mwenge, alizuia sherehe ya Uhuru.

Mkuu wa mkoa wa Dar anatoa wapi ujasiri wa kupingana na bosi wake.
Kumbuka hakuwahi kuzuia sherehe za birthday ya mwanae..
 
Back
Top Bottom