Nakosa mume kwa sababu sina hela

Nakosa mume kwa sababu sina hela

kwanini wanaume wa siku hizi mnapenda wanawake wenye kipato ?
maskini tutaenda wapi? kwani hamuwezi kutuendeleza? kututafutia kazi au biashara? mnataka mama wa familia au hela?
Ungewapelekea wazazi wako hizi lawama, kwasababu hazina mashiko kwenye sifa za hitaji la mume....
 
kwanini wanaume wa siku hizi mnapenda wanawake wenye kipato ?
maskini tutaenda wapi? kwani hamuwezi kutuendeleza? kututafutia kazi au biashara? mnataka mama wa familia au hela?
Mimi nataka asiye napesa. Kama uko tayari njoo
 
Kama umeweka sura ya dhiki kuu mbele mbele uwenda wanakukimbia sababu wanakuona wa bei rhs,embu jaribu kuwa mwanamke mwenye thamani zako,hela sio ishu,ishu ni kuwa na mwanamke hela hana lkn hata akili ya kawaida ya kutafuta hela hana,mbaya zaidi omba omba na ana matumizi makubwa ya kijinga kijinga..Maisha magumu wanaume saivi wameongeza kigezo cha akili ya maisha kwenye mke bora..
 
Ushauri: Mchumba wangu ana maumbile makubwa
Tatizo huyoulimkataa kwasababu ya maumbile makubwa....
AISEEH ASANTE SANA NDG.HUYU DADA NI MALAYA HAFAI KUOLEWA RABDA ANAFAA KUWA BAMEDI.KM UNATAKA KUOLEWA UOMBE MUNGU UKAWE MKE MWENZA AU UOLEWE NA KAHABA KAMA WEWE ! UMEFANYA UZINZI NA KUFANYA UPUPU NA AINA NYINGI ZA NYUUME WEEEEH ! SAIV UNALALAMIKA ? BULL SHEEEET ! NILITAKA NIKUTAFUTE ILI KM UKIKUBALIANA NA UMASKINI WANGU BHAS TUFUNGE NDOA TUENDELEE NA MAISHA LKN KWA HILI LA KUWA UNAFANYANA NA NYUUME NYINGI, BASI NDG.UWE TUU NA MAISHA MEMA !
 
kwanini wanaume wa siku hizi mnapenda wanawake wenye kipato ?
maskini tutaenda wapi? kwani hamuwezi kutuendeleza? kututafutia kazi au biashara? mnataka mama wa familia au hela?
Nyie ni watu hatari sana! Mkiendelezwa mnabadilika kama Kinyonga, hivyo basi kazi ya kukuendeleza ni ya wazazi wako.

Anahitajika mwanamke anayeweza kulea familia hata baba asipokuwepo.
 
Back
Top Bottom