simbamzeewamwakidila
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 1,447
- 378
Hahaaaaa hata kamba huna?
Piga story tu za hapa na pale,mfano usafiri,ushawahi fika let's say mbeya? akisema nope unamwambia mapenzi jitahidi kufika maana ni pazuri sana,unaunga Mie nilienda kumtembelea uncle nilienjoy sana weather ipo Safi chakula cheap etc akisema nishawahi kwenda mbeya unamuuliza vp unapaonaje? akishasema Kama pazuri una msuprise vp tukienda wote? bla bla na mapenzi zipo nyingi tena issue ya magufuli utachukua point na utapata story hata ya dakika 20....ukimaliza unakuja za madawa ya kulevya,ukimaliza unakuja za wema kuiba umeme na maji,ni PM nikupe nyingine.
Teh teh we jamaa mtata sanaPiga story tu za hapa na pale,mfano usafiri,ushawahi fika let's say mbeya? akisema nope unamwambia mapenzi jitahidi kufika maana ni pazuri sana,unaunga Mie nilienda kumtembelea uncle nilienjoy sana weather ipo Safi chakula cheap etc akisema nishawahi kwenda mbeya unamuuliza vp unapaonaje? akishasema Kama pazuri una msuprise vp tukienda wote? bla bla na mapenzi zipo nyingi tena issue ya magufuli utachukua point na utapata story hata ya dakika 20....ukimaliza unakuja za madawa ya kulevya,ukimaliza unakuja za wema kuiba umeme na maji,ni PM nikupe nyingine.
ndio umpe maujanja sasa hua mnapendelea stori gani kwa sanaUnakosaje cha kuongea na mpenzio?
G.sizo;14943294 said:Kwel mkuu kuna option rahis xana mfano double Yr tunbtrr,o6veruy:, 0ñt.5 goal yan kanji ajipange tukimshindwa na hapa tuache betting
ndio umpe maujanja sasa hua mnapendelea stori gani kwa sana
Jina lake unalijua au Hujawahi kumuuliza?