Nakosa amani kila uingiapo usiku

Nakosa amani kila uingiapo usiku

Hiyo hali iliwahi kunikuta mwaka 2014 Nilikuwa naishi sina amani bila sababu yeyote hadi nilikuwa nalala kazini mchana hali ilyonipelekea kukaliwa kikao kazn .....

Suluhu niliipata 2016 nilipookoka na Yesu akawa kiongoz wangu nilijihis shujaa kila mda na yote hayo yakawa mwisho wake......
Hapa nimekuelewa sana ndugu, Bwana Yesu ni mwisho wa mauzauza yote! Mimi pia ni shuhuda.
 
Muone mwanasaikolojia, mueleze kwa kina unachodhani ni sababu, atakusaidia. Kwakuanzia mrudie Mungu kwa kasi sana
 
Tatizo mnaanza mahusiano na wasichana mkiwa na umri mdogo, mkiachwa mnapata stress.
 
Okaka MZEE uwe unakesha kanisani ukimtumikia bwana mungu wako kwa nyimbo na mapambio
 
Mkuu hili la hawa marafiki hewa "wakufikirika" hivi nawafukuzaje kichwani,let say nikiwa alone napiga nao story,sio kwa sauti kubwa,ni ile "kimoyomoyo" in my mind sijui head.
Mkuu unahitaji kumuona psychologist au psychiatrist atakusaidia kabla hali haijawa mbaya zaid. Please do it.
 
Braza unauwoga wa usiku, ni kama mtoto mdogo anavoogopa Giza likiingia, inakupasa kubadili mtazamo wa Giza, grow up, giza ni kivuli cha dunia tu, na Mungu aliumba giza kusudi tupumzike kwa amani. So change the way you perceive things, that's where the problem is.
 
Kwa hiyo ni aina ya hofu au uoga?
Niligundua Mara nyingi wanadamu hatuna amani na nafsi zetu wenyewe kwasababu hatuna amani na Mungu Mwenyezi.

Kwa upande Wang ilikuwa hofu yenye kuninyima Uhuru wa nafsi na fikira kiufupi nilijihis kupungukiwa kitu katka maisha ambacho sikukijua kwanza......

Hadi mwaka 2016 nilipopata suluhu
 
Back
Top Bottom